Tibalikwenda
JF-Expert Member
- Aug 27, 2020
- 284
- 604
Hamna mtaa wa Block 41. Block 41 ni eneo Ada Estate na lina mitaa mingi ndani yake.Nenda Kinondoni Biafra mtaa wa block 41 utakutana na wajuzi wa kutengeneza seat covers
Ile barabara sijui jina lake Ila akifika Tu block 41 akiuliza mafundi seat covers ataelekezwaHamna mtaa wa Block 41. Block 41 ni eneo Ada Estate na lina mitaa mingi ndani yake.
Kwahiyo mkuu huyu jamaa akitengeneza seat cover tu atapata space ya kutosha hiyo familia yake kubwa?Nenda Kinondoni Biafra mtaa wa block 41 utakutana na wajuzi wa kutengeneza seat covers
Wanadesign Siti Kwa style ambayo utahitaji Ila space ya ndani itabaki kama ilivyo isipokuwa Ile siti wanaweza kutengeneza Kwa style nyingiKwahiyo mkuu huyu jamaa akitengeneza seat cover tu atapata space ya kutosha hiyo familia yake kubwa?
Au mimi ndio sijamuelewa mtoa mada?
Mtoa mada anataka kuongeza sitiWanadesign Siti Kwa style ambayo utahitaji Ila space ya ndani itabaki kama ilivyo isipokuwa Ile siti wanaweza kutengeneza Kwa style nyingi
Okay....kumbe nilikuwa sijaelewa aisee kama Nia yake ni kuongeza siti basi hayo yatakuwa maajabu Sidhani kama ataweza kupata space ya kutoshaMtoa mada anataka kuongeza siti
0-60 autogarageKuna yule jamaa nimesahau jina hapo Ada Estate anadeal na subaru tu. Sema bwana niwe honest, anacharge sana wakati vitu wanachukulia hapo kariakoo. Ni kwakua amechagua kudeal na subaru basi kila mru anaamini vitu vyote ni genuine. Jaribu hapo uangalie gharama kisha compare na kungine wadau watakapokushirikisha. Ubora pia una umuhimu. All the bests
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe hata ww umejiuliza kama mm, maana mtu anataka kuongeza seat, zen mtu anamwambia akashone seat cover, labda hao wanaoshona seat cover wanauwezo wa kuongeza na seat pia.Kwahiyo mkuu huyu jamaa akitengeneza seat cover tu atapata space ya kutosha hiyo familia yake kubwa?
Au mimi ndio sijamuelewa mtoa mada?
Yes. Nilitaka taja 360 ila nikasitisha[emoji1787][emoji1787] maana nisije toa boko0-600-60 autogarage
Hizo ziko chini sana mi ninapenda gari zenye ground clearance kubwaUngenunua noah tu au alphad
Kwa 0-60 au kwingineKuna yule jamaa nimesahau jina hapo Ada Estate anadeal na subaru tu. Sema bwana niwe honest, anacharge sana wakati vitu wanachukulia hapo kariakoo. Ni kwakua amechagua kudeal na subaru basi kila mru anaamini vitu vyote ni genuine. Jaribu hapo uangalie gharama kisha compare na kungine wadau watakapokushirikisha. Ubora pia una umuhimu. All the bests