Mods!! Nipelekeni jukwaa la wakubwa ASP.

Msandawe Halisi

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
647
Reaction score
351
Kuna mmanzii kanirandua sasa nimeranduka, nashidwa kujitowa ufahamu wa nini nifanye!! Wakubwa kule wakanipe mbinu.

@msandawe halisi
Aka senior expert member
 
na mimi nipelekeni ilo jukwaa maana naona kama kusadikika tu Invisible
 
Last edited by a moderator:
Kwani ni nini masharti ya kuruhusiwa kuingia huko?
 
Walioko hawataki wengine waongezeke nini? Maana hata msaada wa ushauri hawatoi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…