Mods niwekeeni Kipengele cha notisification.

Mods niwekeeni Kipengele cha notisification.

dimaa

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
4,174
Reaction score
5,658
Kama title inavyojieleza,
Kwa kweli nimechoka kwenda kavukavu, ni muda mrefu sasa, nilimfata jamii forums PM kuhusiana na hili tatizo naona sijui ndo kalipuuzia hili tatizo, nililetega uzi wa hili tatizo mkaufuta.


Tatizo kwani ni nini hadi mnadhindwa kutusikiliza matatizo yetu?
 
Tatizo ni nini kwani? Mbona JF wanajitahidi kusikiliza matatizo?
 
Oooh kumbeee!
Angalia kwenye settings, hakikisha notification umeziset vizuri.
Kuna kipindi ilinitokea nikawa sipati notifications ila ikahirekebisha.
Kwa hiyo sasa hivi unapata notification za pm kama kawa![emoji1][emoji1][emoji1]
 
Mkuu fuata hatua za kwenye hii picha ya kwanza hadi ya tatu [emoji116] [emoji116] [emoji116]

9d6e131e9aac9a2fd17cfe38d99d6eb0.jpg
1c6e062cfc08e721c156cd298d373a3b.jpg
df69ca19f38becd4a7f095d3e5c895c1.jpg
 
Nenda Settings>> Push Notifications>> Weka On>>> Halafu Mark (Weka tick notification husika)... Then you are done..!![emoji106][emoji106][emoji106]

Ukiona bado, tafadhali usisite kuwasiliana na Moderator kwa msaada zaidi
 
Nenda Settings>> Push Notifications>> Weka On>>> Halafu Mark (Weka tick notification husika)... Then you are done..!![emoji106][emoji106][emoji106]

Ukiona bado, tafadhali usisite kuwasiliana na Moderator kwa msaada zaidi
Vyote hivyo vipo on
 
e2d2586bce17b3141e81759d6f3549a8.jpg
vyote vipo On hata kwangu bt sipati kitu,,,nilijarib kumtumia sms Invicible bt naona kimya mpka saa hz
 
Back
Top Bottom