Yaani notification kwenye simu huoni (JF mobile app) au kwenye pc ukilog in kwenye account yakoKiongozi sijaeleweka wapi?
Oooh kumbeee!Kiukwel hata mm sipat notificayion yyte kutoka jamii forum
Natumia mobile app, kama nielekeza, nielekeze
Kwa hiyo sasa hivi unapata notification za pm kama kawa![emoji1][emoji1][emoji1]Oooh kumbeee!
Angalia kwenye settings, hakikisha notification umeziset vizuri.
Kuna kipindi ilinitokea nikawa sipati notifications ila ikahirekebisha.
Ndio kakaKwa hiyo sasa hivi unapata notification za pm kama kawa![emoji1][emoji1][emoji1]
Dada yangu mie inaonekana unapenda notification za pm kwelikweli!........Kulikoni huko pm?[emoji1][emoji1][emoji1]Ndio kaka
We mchokozi mbona kaka!! ? [emoji53][emoji53][emoji53]Dada yangu mie inaonekana unapenda notification za pm kwelikweli!........Kulikoni huko pm?[emoji1][emoji1][emoji1]
Wewe na shangazi yangu ukhuty nawafuatilia kwa ukaribu![emoji1][emoji1][emoji1]We mchokozi mbona kaka!! ? [emoji53][emoji53][emoji53]
Kuna maelekezo hapo juu umeelekezwa na Paprika umeyaelewa au unahitaji msaada zaidi mkuu?Natumia mobile app, kama nielekeza, nielekeze
Vyote hivyo vipo onNenda Settings>> Push Notifications>> Weka On>>> Halafu Mark (Weka tick notification husika)... Then you are done..!![emoji106][emoji106][emoji106]
Ukiona bado, tafadhali usisite kuwasiliana na Moderator kwa msaada zaidi
Nenda kwenye setting mkuu. Mi napata notifications za nyuzi nilizosubsribe, likes na quotes.Kiukwel hata mm sipat notificayion yyte kutoka jamii forum