Moe?

Kabaizer

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2011
Posts
504
Reaction score
64
mbona haifunguki? au ndo kwanza mtuchakachue jamani please yafungueni hayo majina,SWAUM KALI:A S cry:
 
Hii system isirudie tena Mwakani maana haina msaada zaidi ya kuchanganya watu,bora wangefanya kimyakimya bila kuwa wazi kama hivi,maana mimi saizi imekuja check in progress sasa ndio nini?
 
Hii system isirudie tena Mwakani maana haina msaada zaidi ya kuchanganya watu,bora wangefanya kimyakimya bila kuwa wazi kama hivi,maana mimi saizi imekuja check in progress sasa ndio nini?

unaongelea kitu gan weye?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…