acha ubabaishaji wewe. Kama kweli hauko serious maana hata moja ya morning briefing ktk mwezi wa mei meneja alitaja kuwa kuna huitaji wa sales executives nafasi6, na nyingne kadhaa. Labda useme zilipotangazwa kwenye gazeti na kwenye web ya kampuni ilikuwa geresha. Tuseme kumeshaundwa zengwe. Maana wabongo mh!