Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wametakiwa kutojihusisha vitendo vya Uvunjifu wa amani katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na badala yake Wajitokeze kupiga kura kwa kuwachangua viongozi wa Serikali za Mitaa ili waweze kusimamia shughuli za maendeleo katika Maeneo yao.
Soma Pia: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Agizo hilo amelitoa wakati akifunga Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Mtaa wa Sokoine kata ya Kitangiri mkoani Shinyanga ambapo amesisitiza suala la uzingatiaji wa Maadili katika Uchanguzi huo, ambao unatarajiwa kufanyika Novemba 27 Mwaka huu.
Soma Pia: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Agizo hilo amelitoa wakati akifunga Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Mtaa wa Sokoine kata ya Kitangiri mkoani Shinyanga ambapo amesisitiza suala la uzingatiaji wa Maadili katika Uchanguzi huo, ambao unatarajiwa kufanyika Novemba 27 Mwaka huu.