Mohamed Dewji Tsh 20 bilioni naweza kununua timu Ulaya

Ebo! Si afanye kama Bakhresa. Kwani soka ni kabila kusema huwezi kuanzisha la kwako? Yeye anunue timu ndogo, aibebe ikue tuwe na timu kubwa 4. Au ana lake jambo?
 
Ebo! Si afanye kama Bakhresa. Kwani soka ni kabila kusema huwezi kuanzisha la kwako? Yeye anunue timu ndogo, aibebe ikue tuwe na timu kubwa 4. Au ana lake jambo?




huenda leo angekuwepo mzee bakhresa pale simba ingekuwa level za tp mazembe sasa roho ya mtu mweusi ilivyo mnaifanya simba ipiganie nafas sawa na maji maji na mwadui fc bajet yake ya usajili yanga wanamnunua chirwa huoni ajabu hapo naiman simba ikipata mwekezaji yanga kwa mpira anaocheza na hajabalikiwa kupiga mpira mzur angeteseka sana
 
Huyu jamaa tapeli jengo la simba pale kariakoo linasimamia ile pesa yote, ukiacha brand ya simba imejengwa for more than 50 yrs. Anataka atumie simba brand kuuzia bidhaa zake
Nimetazama press conference yake.
Kuna mtego mingi sana.

Simba Kutoa 51% share ya club kwa mali kauli mi hainingii akilini.

Simba wanatakuwa kupata wanasheria makini ambao wata draft mkataba mzuri kuhusu uwekezaji,

J bidhaa zake zitatakiwa kulipa matangazo?
TBL kwa bia ya Kilimanjaro inaipa simba 500mil. Mo ana bidhaa zaidi ya 20 kwenye kampuni yake. Je hiyo 3.7 B a month atakuwa na access ya kutangaza Biashara zake unlimited au products saba tu?

Maswali ni mengi ukikaa na kutafari. Ila ameonesha uthubutu ambao sio rahisi kwa wengi kufanya.

Na why hakufanya kwa Singida UTD na African Lyon??

Kama Simba ina endeshwa kwa Budget ya 1.5B na Yanga 2.5B. Kwa maana hiyo African Lyon au Singida UTD kwa Budget 3.7B wangekuwa na uwezo kifedha Mara 1.5 ya Yanga na Mara 2 ya Simba. Why hakufanya huko??
 
Reactions: MC7
Pesa mbuzi hiyo Mbagala Market na Singida United zimemshinda ambazo haziiitaji pesa nyingi.
 
Kwani kinachogombaniwa ni jina SIMBA au utamu wa klabu kupiga soka? Kama ni utamu, Azam imeanzishwa na sasa inapiga ndani na nje ya nchi. Kwani tunavyoongea leo hii saa hii, Yanga anasumbuliwa na nani kati ya Simba Koko na Azam? Bingwa wa Kagame ni nani?

Mo kama nia yake mpira, alete mageuzi. Kama anadhani fedha zake zinatosha kuinunua Simba, si ainunue Small Simba ailete Dar, kisha aanze kuwanunua hao anaowaona anawataka ndani ya Simba na soka lisonge mbele. Hapo tutamuita mwanamapinduzi, lakini hili la kutaka kusafiria nyota za watu uchuro huo mkuu
 
Weweeeeee! We huruhusiwi kupita njia, please...kaa kitako. Utakuwa vipi mpita-njia ungali una hoja nzito hivi bhana!

Kumbe alishashindwa Singida United, leo anaahidi hewa Msimbazi?
 
Weweeeeee! We huruhusiwi kupita njia, please...kaa kitako. Utakuwa vipi mpita-njia ungali una hoja nzito hivi bhana!

Kumbe alishashindwa Singida United, leo anaahidi hewa Msimbazi?
Sio ahadi hewa , ila zinabidi zijadiliwe.

Inabidi great thinkers wa Simba wasiofungamana na pande zote wakae chini na kutafakari.
 


unawasikia wamiliki wa manchester zote mbili? chelsea na psg hakuna timu zinazowakimbia wale ila tanzania tu ndipo muwekezaji anaaamuliwa kuandaa timu yake kuna takwimu zinaonesha taifa letu tupo ktk watu wasio kuwa na furaha wanamaana hata simba anapopigwa na toto lazima utahuzunika tu mchezo ni furaha nyie hamtak furaha mnapenda huzuni ila kizur simba itakwenda kwa mo ushindani wa soka letu utarud haiwezekani simba ivizie makapi ya azam ndo isajili
 
Simba wampe tim maana mpira bila pesa tutaendelea kuwa wamatopen
 
Angeiga mfano wa tajiri mwenzake Bakhresa.kaanzisha timu yake mwenyewe na kuiinua mpaka kuwa timu kubwa na tishio ndani ya muda mchache.Imagine MÖ FC,hizi simba na yanga zinazoendeshwa na akili za wale wanachama wazee wasio na ujuzi wala uwezo wakitaalam hata ukiwekeza pesa yako itakupa stress tu na hasara
 


Mo ana misifa tu
ubunge jimbo lake kaliacha hoi
alikuwa mfadhili wa Simba na hakuna cha maana Simba ilifanya
hizo bilioni 20 anazungumza tu kwa mdomo
kiuhalisia Simba jengo tu la Msimbazi ni zaidi ya bilioni 7
ina maana alkipewa Simba akienda bank kukopa bilioni 3
na kuzitumia Simba kuingiza zaidi..in the end atakuja kusema kainvest bilioni 20

Wahindi kama huyu hawawezi kuinvest Ulaya sababu ujanja ujanja kule hakuna
 
Singida United Imemshinda Anaitaka Simba Watamuua....ikishuka Daraja au Kufa Kifo Cha Mende
 
Ya Ngoswe mwachie Ngoswe lakini there is something very fishy about Mo's investment. Anasema atawekeza Billion 20 na zitatumika kununua hatifungani za serikali sina uhakika kwa muda gani.

Wakati huo, atakuwa keshakuwa mmiliki wa Club. Kwa sheria za makampuni lazima aongoze hiyo kampuni kwa kuweka watu wake. Pesa yake bado itakuwa ni ya kwake kwa kuwa mmiliki mwenye hisa nyingi.

Muda ndiyo utasema nia yake ni ipi hasa. Mzee Bakhresa alikuwa Simba vile vile lakini akaona aanzishe timu yake. Mo alishafanya hayo kwa kuinunua Mbagala Market lakini ilimshinda kwa kuwa haina fan base. Hizi juhudi kubwa za kuinunua Simba (ndiyo kuinunua) zina maana yake. Anaweza kuja kuiuza siku za usoni kwa bei halisi maana hakuna anayejua hiyo thamani ya billion 20 imetoka wapi.
 
Reactions: MC7

Wala hatoi hizo billion 20 kwenye Club moja kwa moja. Eti watanunua hatifungani (sijui za muda gani). Ule mtaji utabaki kuwa wa kwake na atakuwa na gawio la 51% kwenye faida ya hizo hatifungani.

Hivi nani kafanya valuation ya assets za Simba kujua thamani yake hadi afikie kusema ananunua hisa 51% kwa billion 20? Something very fishy somewhere. Kesho kutwa anaweza kuamua kuuza hisa zake kwa thamani halisi maana wakati huo tofauti na sasa, itakuwa inajulikana!

Only time will tell.
 
Huyu jamaa tapeli jengo la simba pale kariakoo linasimamia ile pesa yote, ukiacha brand ya simba imejengwa for more than 50 yrs. Anataka atumie simba brand kuuzia bidhaa zake
hiyo brand ya simba imeshawaingizia sh.ngapi? Mbona wachezaji wanakufa njaa na wanasajili makapi ya Azam? Liuzeni basi hilo jengo msajili wachezaji?
 

Halafu anaweza kuja kuuza hata kwa mchina au yeyote yule
manake club itakuwa mali yake
huyu ni mjanja mjanja mno
Tazama anavyo penda Media
keshamnnua yule mwandishi wa Forbes Africa..sasa eti yeye ndo 'the richest in Tanzania
huku anaujua ukweli
Bakhresa na Oilcom owners ni far richer than him
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…