Jibu swal acha kuruka ruka ,mayele na zimbwe nani mkubwa?Sikuwezi kwa ubishi tufanye ana miaka 22 kama unatumia kigezo cha sura Zawadi Mauya na Baleke nani mkubwa?
OnyangoJibu swal acha kuruka ruka ,mayele na zimbwe nani mkubwa?
Duuh tshabalala kwako ni dogo?Tuwe wakweli dogo aachwe
Namzidi mingiDuuh tshabalala kwako ni dogo?
Hii kauli Utopoloni hatuna akili sote ila wawili tu, niliifikiria sana nikaona Ina kaukweli flani maana namimi ni mmojawapo dishi Huwa linayumba weekend ila nikamkumbuka sana Rage aliesema Simba yote ni ya mbumbumbu which is true maana mabilioni ya Mbet yameleta makombe mawili ya kufa kiume , kocha ni Mzee, wachezaji ni wazee, timu haijulikani inacheza staili Gani ya mpira, timu inapigwa kama ngoma na Dube sio Azam na bado mashabiki mbumbumbu roho zao nyeupeee hawaoni aibu mitaani na majezi Yao na eti walivyo hamnazo hawafukuzi yoyote!! Stupi😊 Kolos !!Kwani nyie utopolo mbona kila kitu kwenu vita?????[emoji23][emoji23][emoji23]
Acheni ulimbukeni,
MKIAMBIWA HAMNA AKILI MNALALAMIKA DAH
Mmh Mayele mdogo wake wa tatu wa TshabalalaNawe umeandika hii pumba?
Tshabalala na Mayele nani mwenye umri mkubwa?
Achilia mbali age cheating ambayo kwa Africa imekuwa regular, hata kwa sura yupi ukimuangalia ni anaonekana mkubwa kuliko mwingine?
Wakiachwa wataendelea kuroga wanaokuja ili wacheze waoSiyo mbaya kuwa na veterans kadhaa katika timu ila mishahara yao iwe ile ya level ya chini na wawe wenye nidhamu ya hali ya juu ndani na nje ya uwanja. Pia wawe tayari kusugua benchi na kuchezeshwa pale tu wanapohitajika.
Kijana anaitwa Mbegu full back left ya Ihefu ndio imemkimbiza Shabalala Simba. Tokea huyo Dogo asaini mkataba Simba. Wekundu wa Msimbazi wememfungia vioo Shabalala. Labda aende huko South.Zimbwe kuja kupata mbadala wake ni shughuli.
Hakuna beki anae weza kuuweka bech zimbwe jr ni beki mwenye vitu vingi Sana licha ya mwli mdogo Aliio nao mabek wengi wamekuja simba wame shindwa sio kama wabovu Bali ni uwezo Alio naoKijana anaitwa Mbegu full back left ya Ihefu ndio imemkimbiza Shabalala Simba. Tokea huyo Dogo asaini mkataba Simba. Wekundu wa Msimbazi wememfungia vioo Shabalala. Labda aende huko South.
Hii kauli Utopoloni hatuna akili sote ila wawili tu, niliifikiria sana nikaona Ina kaukweli flani maana namimi ni mmojawapo dishi Huwa linayumba weekend ila nikamkumbuka sana Rage aliesema Simba yote ni ya mbumbumbu which is true maana mabilioni ya Mbet yameleta makombe mawili ya kufa kiume , kocha ni Mzee, wachezaji ni wazee, timu haijulikani inacheza staili Gani ya mpira, timu inapigwa kama ngoma na Dube sio Azam na bado mashabiki mbumbumbu roho zao nyeupeee hawaoni aibu mitaani na majezi Yao na eti walivyo hamnazo hawafukuzi yoyote!! Stupi😊 Kolos !!
Sasa nikafurahi sana kuwa angalau Yanga tuna wawili wenye akili Mzee wa Msoga na Sunday Manara, sasa nikagundua huko Kolokoloni wao mwenye akili ni mmoja tu , one and only one, Mr Rage only! Maua yake haya🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌺🥀🍁💐💐🌼🌸🌸💮💪💪💪🔥🔥🔥
Mchango wa kujenga sanamu la Rage pale msimbazi umeanza jamani wa utopoloni tuwasaidie Makolo Huyu ni shujaa wao amewaamsha watani zetu tuchangamkie fursa tuchange!! Sanamu liwe kubwa na zuri liwekwe juu ya Ghorofa la Simba na liandikwe "Rage the Great, the living philosopher"
Tshabalala ni mzee katumika sana kaisha hivi Sasa ni level ya TP Lindanda Wana Kawekamo Pamba ya Mwanza, Singapore Big Stars, Kagera Sugar, Mtibwa , Azam pia atafaa, Sauzi sio kweli, nyie Kolos kweli Mbumbumbu, huko kwa Madiba ni level za kina Mudathir au Mayele, Musonda, Mzize etc
Kwa hawa wanaocheza ligi hii hakuna kama zimbwejr na hatotokeacleo wala keshoHakuna beki anae weza kuuweka bech zimbwe jr ni beki mwenye vitu vingi Sana licha ya mwli mdogo Aliio nao mabek wengi wamekuja simba wame shindwa sio kama wabovu Bali ni uwezo Alio nao
Nyinyi ndio mnaofanya washabiki wa kweli Yanga SC tuonekane hovyoOnyango
Mbegu amesajiliwa Simba???kijana yupo vizuri ila kwa level za zimbwejr bado sana ana mengi ya kujifunzaKijana anaitwa Mbegu full back left ya Ihefu ndio imemkimbiza Shabalala Simba. Tokea huyo Dogo asaini mkataba Simba. Wekundu wa Msimbazi wememfungia vioo Shabalala. Labda aende huko South.
Aiseeeeeh[emoji3][emoji3][emoji3]Baleke mdogo sana. Kuna tofauti kati ya sura mbaya na sura iliyokomaa.
DahEti Orlando pirates,kaizer,royal am na supersport... 😄😄😄
What a joke!!
Hii atakua kaandika tshabalala mwenyewe na wakala wake!!!
Yaani mtu yupo umri wa kustaafu anaota ndogo za kwenda timu za sauzi, akubali umri umemtupa mkono, Simba wamstiri au aende singida big star club ya ma veteran
Sasa kwa nini walishiriki kumdanganya Fei Toto wakati wa kwao ametulia hadi atakapomaliza mkataba?MOHAMED HUSSEIN TRANSFER UPDATE🔴
- Mlinzi wa kushoto wa klabu ya Simba, MO Hussein anamaliza mkataba wake na Wekundu wa Msimbazi mwishoni mwa msimu huu na atakuwa Mchezaji huru (Free agent) ambapo klabu kadhaa zimeanza kutuma ofa.
- Klabu za Afrika Kusini, Kaizer Chiefs, Royal AM na Orlando Pirates wametuma ofa rasmi kwa Menejiment yake huku Supersport United wakimtumia mtu wa kati kufikisha ofa kwa Wakala wake.
- Aidha Simba pia wameanza mazungumzo na Tshaba ili aongeze kandarasi ambapo kwasasa wanapewa kipaumbele kikubwa kuanzia ofa yao na vipengele vingine vya kimkataba ijapo hajasaini karatasi zozote mpaka hivi sasa.
Powered by @kariakoo_phones.tz @kariakoo_phones.tz
VISIT MOROGORO🇹🇿
Jrfarhan ✍️
Pole sanaSasa kwa nini walishiriki kumdanganya Fei Toto wakati wa kwao ametulia hadi atakapomaliza mkataba?