Afisa Tabibu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 511
- 848
Hujakosea....! Kimsingi Kwa Tanzania hasa miaka Ya Karibuni Wachezaji bora wa muda wote karibia namba Zote Wanapatikana Simba tu...!Hivi nikisema huyu ndo namba tatu bora wa muda wote kt ligi kuu ya Tanzania bara nitakuwa nimekosea? Huyu jamaa amecheza kwa kiwango bora kwa misimu karibia kumi mfululizo, amecheza timu ya Taifa mara nyingi mno, ni mchezaji bora sana katika nchi hii.
Nasikitika haheshimiwi, sifa wanapewa wengine yeye anarukwa, tafadhalin sana wanasoka tumpe heshima huyu kijana, sio rahis kupata mchezaji wa kariba yake kwa miaka hii ya karibuni.
Simba hakuna Beki Wa Kati Wa Kitanzania Kama Mwamnyeto Na Job, Hakuna Mido Ya Kitanzania Kama Feitoto Na Kwa Upande Wa Winga Sijaona Simba Winga Wa Kibongo Anayemzidi Chochote Dickson Ambundo....Kama Unabisha Wataje?Hujakosea....! Kimsingi Kwa Tanzania hasa miaka Ya Karibuni Wachezaji bora Wa muda wote karibia namba Zote Wanapatikana Simba tu...!
Nakaribisha povu Kutoka Kwa 'Machale Championi' wa Bongo ..!
Mimi ni Yanga lakini Kuna jamaa wa biashara anacheza namba 7 Renatus Ambrosi na Beki wa Kati wa biashara Abdulmajid Mangalo, hawa jamaa kwasasa wanastahili kuitwa timu ya Taifa.Simba Hakuna Beki Wa Kati Wa Kitanzania Kama Mwamnyeto Na Job, Hakuna Mido Ya Kitanzania Kama Feitoto Na Kwa Upande Wa Winga Sijaona Simba Winga Wa Kibongo Anayemzidi Chochote Dickson Ambundo....Kama Unabisha Wataje?
So Ambundo ni zaidi ya MsuvaSimba Hakuna Beki Wa Kati Wa Kitanzania Kama Mwamnyeto Na Job, Hakuna Mido Ya Kitanzania Kama Feitoto Na Kwa Upande Wa Winga Sijaona Simba Winga Wa Kibongo Anayemzidi Chochote Dickson Ambundo....Kama Unabisha Wataje?
Abdulmajid Mangalo ......yule jamaa anajitoa sana ....safMimi ni Yanga lakini Kuna jamaa wa biashara anacheza namba 7 Renatus Ambrosi na Beki wa Kati wa biashara Abdulmajid Mangalo awa jamaa kwasasa wanastahili kuitwa timu ya Taifa.
Uyu Renatus hana mambo mengi yaani angekua Yanga, Mayele angesha fikisha goli 15 mbaka Sasa za ligi kuu.
Mimi ni Yanga but issue ya ushirikina unaweza kuithibitisha au ni maneno ya kwenye vijiwe vya kahawa?Tatizo ni mshirikina hakuna mfano, asifiwe na wachawi wenzie.
Uthibitisho?dogo anajitaidi sana tuu, ila sasa kwenye yale mambo yetu ya kienyeji ni hataree, hata kagere ambaye anaogopwa sana kikosini hamfikii
Ningekuwa mimi ndiye kocha namuhamishia nafasi ya "Holding midfielder". Ule uwezo wake wa kumiliki mpira jamaa anatisha aisee. Anyway kuna " Zimbwe" mwingine yupo Kibaha hapa though ana miaka minne now.Hivi nikisema huyu ndo namba tatu bora wa muda wote kt ligi kuu ya Tanzania bara nitakuwa nimekosea? Huyu jamaa amecheza kwa kiwango bora kwa misimu karibia kumi mfululizo, amecheza timu ya Taifa mara nyingi mno, ni mchezaji bora sana katika nchi hii.
Nasikitika haheshimiwi, sifa wanapewa wengine yeye anarukwa, tafadhalin sana wanasoka tumpe heshima huyu kijana, sio rahis kupata mchezaji wa kariba yake kwa miaka hii ya karibuni.
Kuna harufu ya ukweli hapaSimba Hakuna Beki Wa Kati Wa Kitanzania Kama Mwamnyeto Na Job, Hakuna Mido Ya Kitanzania Kama Feitoto Na Kwa Upande Wa Winga Sijaona Simba Winga Wa Kibongo Anayemzidi Chochote Dickson Ambundo....Kama Unabisha Wataje?
Kennedy ni zaidi ya Job, Dilunga ni zaidi ya AmbundoSimba Hakuna Beki Wa Kati Wa Kitanzania Kama Mwamnyeto Na Job, Hakuna Mido Ya Kitanzania Kama Feitoto Na Kwa Upande Wa Winga Sijaona Simba Winga Wa Kibongo Anayemzidi Chochote Dickson Ambundo....Kama Unabisha Wataje?
Nilikuwa namsikia tu kwenye Redio Tz kupitia Juma MkamiaKama ulibahatika kumuona Mwanamtwa kiwelu basi Zimbwe utaona bado ana kazi ya kufanya.
Uto kaziniSimba Hakuna Beki Wa Kati Wa Kitanzania Kama Mwamnyeto Na Job, Hakuna Mido Ya Kitanzania Kama Feitoto Na Kwa Upande Wa Winga Sijaona Simba Winga Wa Kibongo Anayemzidi Chochote Dickson Ambundo....Kama Unabisha Wataje?
Hahahahaha, kumbe yule ni mchawi sanaTatizo ni mshirikina hakuna mfano, asifiwe na wachawi wenzie.