AmekwazanaNi wakati wa kumtambua Zimbwe...
Ana discipline, juhudi, maarifa, mzalendo kwa SIMBA..
Hatujasikia amekeazana na makocha wote waliopita Simba..
Jana kisinda alicheza? Hakupangwa. Angepangwa match ya jana angewafunga simba.... Nyie akina kisinda kabwili mna shida.Ukitaka ajiuzulu kucheza mpira au ahame namba mwambie amkabe Kisinda au Adebayor
Bila mbeleko ya refa Makolo yasingeshindaJana kisinda alicheza? Hakupangwa. Angepangwa match ya jana angewafunga simba.... Nyie akina kisinda kabwili mna shida.
Sasa unapeleka wenzio wewe hujipeleki mganga akusadie uwe mwanaume halisi? Maana unasaidia wenzio tu kimpiraNilimpeleka Mkude, Onyango na juzi tu nimempeleka Kagere angalia moto atakaowasha NBC now.
Kaa hivyohivyo kijinga
KaBwili unaumia ukiwa wapi? Nyie mmeshazoea kubwiliwa tu. Mnahangaika sana. Mliwasindikiza? Kabwili mkubwa wewe.... Kisinda plus plus....🤣🤣🤣Bila mbeleko ya refa Makolo yasingeshinda
Huyu na Aish Manula ndio mastaa wa kuirudisha nyumbuni Taifa Stars.Hivi nikisema huyu ndo namba tatu bora wa muda wote katika ligi kuu ya Tanzania bara nitakuwa nimekosea? Huyu jamaa amecheza kwa kiwango bora kwa misimu karibia kumi mfululizo, amecheza timu ya Taifa mara nyingi mno, ni mchezaji bora sana katika nchi hii.
Nasikitika haheshimiwi, sifa wanapewa wengine yeye anarukwa, tafadhalini sana wanasoka tumpe heshima huyu kijana, sio rahisi kupata mchezaji wa kariba yake kwa miaka hii ya karibuni.
Kisinda huyu huyu aliyefichwa juzi na Zimbwe akahamia upande mwingine akakutana na Enock Inonga akafukiwa kabisa au Kisinda wa Russia kwa Putin 🙂Ukitaka ajiuzulu kucheza mpira au ahame namba mwambie amkabe Kisinda au Adebayor
hawa ndio wale hata mpira hawaangalii. hajui hata sifa anazopewa Shaba ni baada ya kumfanya Kisinda abaki kukenua tu uwanjaniUkitaka ajiuzulu kucheza mpira au ahame namba mwambie amkabe Kisinda au Adebayor