Mohamed Mchengerwa walimu Tunduru tumeshindwa kwenda likizo; Mkurugenzi, maDEO na maafisa utumishi wao wamejilipa na wameenda likizo

Mohamed Mchengerwa walimu Tunduru tumeshindwa kwenda likizo; Mkurugenzi, maDEO na maafisa utumishi wao wamejilipa na wameenda likizo

saigilomagema

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2015
Posts
4,683
Reaction score
7,222
Mh.waziri wetu wa TAMISEMI sisi walimu wa halmashauri ya wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma tuli-submit maombi yetu ya kwenda likizo ya malipo mwezi wa 11 mwanzoni.

Ilikuwa tuende likizo kujiunga na familia na ndugu zetu ktk sherehe za mwisho wa mwaka huu.

Tunasikitika kukueleza kwa masikitiko kuwa tumeshindwa kwasababu hatujalipwa mpaka leo.

Watumishi wa halmashauri akiwepo mkurugenzi mtendaji wametupuuza wakati huo yeye mkurugenzi, maafisa elimu na maafisa utumishi wamejilipa na wameenda likizo.

Mh. Waziri tunaomba msaada wako tupate haki zetu. Kwa halmashauri hii manyanyaso kwa walimu imekuwa ni kawaida kwa mfano walimu walioajiriwa tangia 2020 hawalipwa pesa za kujikimu na za nauli ni wazi ofisi ya utumishi na uhasibu kwa maana ya DT wanajichukulia pesa ambazo ni haki zetu.

Jambo lingine mtumishi unajaza malipo unaweza kulipwa nusu ya ulichoomba bila maelezo.

Kwa ujumla pale halmashauri ni Miungu watu, tunaomba imulike hii halmashauri utusaidie wananchi wako.
 
Mh.waziri wetu wa TAMISEMI sisi walimu wa halmashauri ya wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma tuli-submit maombi yetu ya kwenda likizo ya malipo mwezi wa 11 mwanzoni. Ilikuwa tuende likizo kujiunga na familia na ndugu zetu ktk sherehe za mwisho wa mwaka huu. Tunasikitika kukueleza kwa masikitiko kuwa tumeshindwa kwasababu hatujalipwa mpaka leo. Watumishi wa halmashauri akiwepo mkurugenzi mtendaji wametupuuza wakati huo yeye mkurugenzi, maafisa elimu na maafisa utumishi wamejilipa na wameenda likizo.
Mh. Waziri tunaomba msaada wako tupate haki zetu. Kwa halmashauri hii manyanyaso kwa walimu imekuwa ni kawaida kwa mfano walimu walioajiriwa tangia 2020 hawalipwa pesa za kujikimu na za nauli ni wazi ofisi ya utumishi na uhasibu kwa maana ya DT wanajichukulia pesa ambazo ni haki zetu. Jambo lingine mtumishi unajaza malipo unaweza kulipwa nusu ya ulichoomba bila maelezo. Kwa ujumla pale halmashauri ni Miungu watu, tunaomba imulike hii halmashauri utusaidie wananchi wako.
Poleni sana .....anzeni kumsifia mkwe ndio atafanya mmekwenda kavu kavu sana......ungwwka hapo kuwa wanamuangusha Rais ambaye ana nia njema na kada ya walimu .....ametupandisha madaraja na kuongeza mishahara lakini watendaji wake wanamuangusha.....etc bila hivyo hutamsikia nkwe...sijyi yuko muhoro au ndio katekwa yukk kuleeerrr.....kizi town
 
Siku ambayo Walimu/Elimu itathaminiwa ndio siku tutapata Maendeleo kwenye nchi hii.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Mh.waziri wetu wa TAMISEMI sisi walimu wa halmashauri ya wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma tuli-submit maombi yetu ya kwenda likizo ya malipo mwezi wa 11 mwanzoni. Ilikuwa tuende likizo kujiunga na familia na ndugu zetu ktk sherehe za mwisho wa mwaka huu. Tunasikitika kukueleza kwa masikitiko kuwa tumeshindwa kwasababu hatujalipwa mpaka leo. Watumishi wa halmashauri akiwepo mkurugenzi mtendaji wametupuuza wakati huo yeye mkurugenzi, maafisa elimu na maafisa utumishi wamejilipa na wameenda likizo.
Mh. Waziri tunaomba msaada wako tupate haki zetu. Kwa halmashauri hii manyanyaso kwa walimu imekuwa ni kawaida kwa mfano walimu walioajiriwa tangia 2020 hawalipwa pesa za kujikimu na za nauli ni wazi ofisi ya utumishi na uhasibu kwa maana ya DT wanajichukulia pesa ambazo ni haki zetu. Jambo lingine mtumishi unajaza malipo unaweza kulipwa nusu ya ulichoomba bila maelezo. Kwa ujumla pale halmashauri ni Miungu watu, tunaomba imulike hii halmashauri utusaidie wananchi wako.
Hilo ni la Tanzania nzima!halmashauri zote!!

Na tatizo kubwa ni pale Dola ilipotoa ridhaa ya utawala was milele kwa chama kimoja Cha siasa!

Matokeo yake wamejimilikisha Kila kitu Hadi haki za watu!!

Waza mambo mengine hayo achana nayo!!!
 
Mh.waziri wetu wa TAMISEMI sisi walimu wa halmashauri ya wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma tuli-submit maombi yetu ya kwenda likizo ya malipo mwezi wa 11 mwanzoni. Ilikuwa tuende likizo kujiunga na familia na ndugu zetu ktk sherehe za mwisho wa mwaka huu. Tunasikitika kukueleza kwa masikitiko kuwa tumeshindwa kwasababu hatujalipwa mpaka leo. Watumishi wa halmashauri akiwepo mkurugenzi mtendaji wametupuuza wakati huo yeye mkurugenzi, maafisa elimu na maafisa utumishi wamejilipa na wameenda likizo.
Mh. Waziri tunaomba msaada wako tupate haki zetu. Kwa halmashauri hii manyanyaso kwa walimu imekuwa ni kawaida kwa mfano walimu walioajiriwa tangia 2020 hawalipwa pesa za kujikimu na za nauli ni wazi ofisi ya utumishi na uhasibu kwa maana ya DT wanajichukulia pesa ambazo ni haki zetu. Jambo lingine mtumishi unajaza malipo unaweza kulipwa nusu ya ulichoomba bila maelezo. Kwa ujumla pale halmashauri ni Miungu watu, tunaomba imulike hii halmashauri utusaidie wananchi wako.
Nyie si mmemchangia mama hela ya fomu?mtakosaje hela ya kwenda likizo?
 
Siku ambayo Walimu/Elimu itathaminiwa ndio siku tutapata Maendeleo kwenye nchi hii.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Ithaminiwe na nani wakati nyie hamjielewi?eti mmechanga hela Kwa ajili ya fomu ya uraisi,bure kabisa walimu
 
Wewe no ajira mpya? Pesa ya likizo ya disemba hutoka January/February na ya Juni hutoka Julai/Agosti. Waulize wenyeji wanalijua hilo miaka yotw
 
Back
Top Bottom