TANZIA Mohamed Rashid Musa, Diwani kata ya Likombe afariki dunia

TANZIA Mohamed Rashid Musa, Diwani kata ya Likombe afariki dunia

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
afariki-pc-data.jpg

Diwani wa Kata ya Likombe iliyopo Wilaya ya Mtwara, Mohamed Rashid Musa amefariki dunia leo Alhamisi Septemba 9 saa mbili asubuhi.

Katibu wa CCM Wilaya ya Mtwara, Eliud Shemauya ameiambia Mwananchi kuwa diwani huko amefariki katika Hospitali ya Mkoa ya Ligula alipofikishwa jana Septemba 8, 2021 baada ya kuugua maradhi ya moyo na kisukari.

Eliud amesema diwani huyo atazikwa kesho Septemba 10, 2021 saa kumi jioni nyumbani kwao mkoani Lindi.

"Kiukweli nyota imezimika, mara ya mwisho alinieleza kuwa ana mpango wa kushirikiana na wananchi wa kata yake kujenga shule ya sekondari kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita, tayari alishamweleza Mkurugenzi wa wilaya yetu mahali ambapo shule hiyo ingejengwa," amesema Shemauya kwa masikitiko.

Kata ya Likombe kwa sasa haina shule ya sekondari.

Kabla ya kuwa diwani, marehemu aliwahi kuwa katibu wa CCM kata ya Likombe kwa kipindi cha miaka kumi.

Chanzo: Mwananchi
 
RIP Diwani, maisha ya mwanadamu ni mafupi nayo yamejaa shida, jitahidi kutenda wema wakati wa kuishi hizi siku chache ulIzopewa na Mola hapa duniani.

Huko hakuna tume wala uchaguzi tena; huko ni hukumu kutokana na matendo yako ya hapa duniani.
 

Diwani wa Kata ya Likombe iliyopo Wilaya ya Mtwara, Mohamed Rashid Musa amefariki dunia leo Alhamisi Septemba 9 saa mbili asubuhi.

Katibu wa CCM Wilaya ya Mtwara, Eliud Shemauya ameiambia Mwananchi kuwa diwani huko amefariki katika Hospitali ya Mkoa ya Ligula alipofikishwa jana Septemba 8, 2021 baada ya kuugua maradhi ya moyo na kisukari.

Eliud amesema diwani huyo atazikwa kesho Septemba 10, 2021 saa kumi jioni nyumbani kwao mkoani Lindi.

"Kiukweli nyota imezimika, mara ya mwisho alinieleza kuwa ana mpango wa kushirikiana na wananchi wa kata yake kujenga shule ya sekondari kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita, tayari alishamweleza Mkurugenzi wa wilaya yetu mahali ambapo shule hiyo ingejengwa," amesema Shemauya kwa masikitiko.

Kata ya Likombe kwa sasa haina shule ya sekondari.

Kabla ya kuwa diwani, marehemu aliwahi kuwa katibu wa CCM kata ya Likombe kwa kipindi cha miaka kumi.

Chanzo: Mwananchi
Mungu mkubwa another ccm
 

Diwani wa Kata ya Likombe iliyopo Wilaya ya Mtwara, Mohamed Rashid Musa amefariki dunia leo Alhamisi Septemba 9 saa mbili asubuhi.

Katibu wa CCM Wilaya ya Mtwara, Eliud Shemauya ameiambia Mwananchi kuwa diwani huko amefariki katika Hospitali ya Mkoa ya Ligula alipofikishwa jana Septemba 8, 2021 baada ya kuugua maradhi ya moyo na kisukari.

Eliud amesema diwani huyo atazikwa kesho Septemba 10, 2021 saa kumi jioni nyumbani kwao mkoani Lindi.

"Kiukweli nyota imezimika, mara ya mwisho alinieleza kuwa ana mpango wa kushirikiana na wananchi wa kata yake kujenga shule ya sekondari kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita, tayari alishamweleza Mkurugenzi wa wilaya yetu mahali ambapo shule hiyo ingejengwa," amesema Shemauya kwa masikitiko.

Kata ya Likombe kwa sasa haina shule ya sekondari.

Kabla ya kuwa diwani, marehemu aliwahi kuwa katibu wa CCM kata ya Likombe kwa kipindi cha miaka kumi.

Chanzo: Mwananchi
RIP kada wetu makini Hamza

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Kabla ya kuwa diwani, marehemu aliwahi kuwa katibu wa CCM kata ya Likombe kwa kipindi cha miaka kumi.
”Kabla ya kuwa diwani, aliongoza kikosi cha Green Guard/ watu wasiojulikana”. SHUWAINI huyu amelaaniwa na MaCCM wenzie wote.
 
Hapo sasa.
Wameiba kura hata mwaka bado. Amechuma dhambi lukuki kumbe hata udiwani hata kaa nao.
Sio kila mgombea anaibiwa kura.
Wengine wameaga kwao.
 

Diwani wa Kata ya Likombe iliyopo Wilaya ya Mtwara, Mohamed Rashid Musa amefariki dunia leo Alhamisi Septemba 9 saa mbili asubuhi.

Katibu wa CCM Wilaya ya Mtwara, Eliud Shemauya ameiambia Mwananchi kuwa diwani huko amefariki katika Hospitali ya Mkoa ya Ligula alipofikishwa jana Septemba 8, 2021 baada ya kuugua maradhi ya moyo na kisukari.

Eliud amesema diwani huyo atazikwa kesho Septemba 10, 2021 saa kumi jioni nyumbani kwao mkoani Lindi.

"Kiukweli nyota imezimika, mara ya mwisho alinieleza kuwa ana mpango wa kushirikiana na wananchi wa kata yake kujenga shule ya sekondari kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita, tayari alishamweleza Mkurugenzi wa wilaya yetu mahali ambapo shule hiyo ingejengwa," amesema Shemauya kwa masikitiko.

Kata ya Likombe kwa sasa haina shule ya sekondari.

Kabla ya kuwa diwani, marehemu aliwahi kuwa katibu wa CCM kata ya Likombe kwa kipindi cha miaka kumi.

Chanzo: Mwananchi
Mpaka 2025 sijui tabaki nani. Yataisha
 
Hapo sasa.
Wameiba kura hata mwaka bado. Amechuma dhambi lukuki kumbe hata udiwani hata kaa nao.
Sio kila mgombea anaibiwa kura.
Wengine wameaga kwao.
Mpaka sasa wamekufa karbu 20 tangu uchaguzi uishe
 
Tujitahidi kutenda mema, muda wetu Duniani ni mfupi mno.

Si wote ndani ya CCM ni dhulumati, si wote ndani ya CCM ni mawakala wa shetani, na si wote ndani ya CCM walitaka kuiba kura bali kuna watu ndani ya CCM wanaowafanya wanCCM wote kutembea kwenye njia ya shetani.

Tunapomsindikiza huyu aliyetutangulia, tutafakari tena matendo yetu, hasa juu ya kuishi kwa haki, upendo wa kweli usio na unafiki wala uzandiki.

Poleni sana wafiwa. Mnapoomboleza kifo chake mpendwa wenu, yatafakarini matendo yake kwa maana ya kuyatambua mapungufu yetu ili tufanye marekebisho kabla ya siku yetu.
 
Back
Top Bottom