Namwita hapa jamvini ndugu Mohamed Said, nimesoma maandiko kadhaa nikajiridhisha kuwa kitaaluma ni mwanahistoria ila kiuhalisia ni mtetezi wa kundi flani analotaka liwepo kwenye historia, kwa mfano kuhusu Historia ya Tanganyika, hivi kwanini Abdulawaheed Sykes alimwachia Nyerere aongoze chama? hii si dalili kuwa harakati za uhuru zilipata msukumo wa kweli baada ya ujio wa Nyerere?