Mohamed Salah atwaa tuzo ya Mwanasoka bora wa Afrika 2017

Mohamed Salah atwaa tuzo ya Mwanasoka bora wa Afrika 2017

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,621
Reaction score
8,411
Msukuma ndinga anayewika kupitia Klabu ya Liverpool, Mohamed Salah ameshinda tuzo ya Mchezaji bora kwa mwaka 2017 baada ya kuwabwaga Sadio Mane raia wa Senegal ambaye pia anakipiga Liverpool pamoja na Pierre-Emerick Aubameyang raia wa Gabon anayecheza Dortmund ya Nchini Ujerumani.

47C4941A00000578-5237047-image-a-19_1515107918125.jpg

47C4967F00000578-5237047-image-a-20_1515107924195.jpg


Timu ya Taifa ya Misri imeshinda tuzo ya timu bora ya mwaka 2017

IMG_20180105_054253.jpg


Asisat Oshoala amenyakua tuzo ya Mchezaji bora wa mwaka 2017 kwa upande wa Wanawake

IMG_20180105_054308.jpg


Hector Cuper ambaye ni Kocha wa timu ya Taifa, ametwaa tuzo ya Kocha bora wa Mwaka 2017

IMG_20180105_054259.jpg


Raia wa Zambia, Patson Daka mwenye umri wa miaka 19 ameshinda tuzo ya Mchezaji bora anayechipukia

IMG_20180105_054316.jpg


Huku Klabu ya Wydadi Casablanca kutoka Morocco ikitwaa tuzo ya Klabu bora ya mwaka 2017

IMG_20180105_054303.jpg
 
Msukuma ndinga anayewika kupitia Klabu ya Liverpool, Mohamed Salah ameshinda tuzo ya Mchezaji bora kwa mwaka 2017 baada ya kuwabwaga Sadio Mane raia wa Senegal ambaye pia anakipiga Liverpool pamoja na Pierre-Emerick Aubameyang raia wa Gabon anayecheza Dortmund ya Nchini Ujerumani.



Timu ya Taifa ya Misri imeshinda tuzo ya timu bora ya mwaka 2017

View attachment 668989

Asisat Oshoala amenyakua tuzo ya Mchezaji bora wa mwaka 2017 kwa upande wa Wanawake

View attachment 668988

Hector Cuper ambaye ni Kocha wa timu ya Taifa, ametwaa tuzo ya Kocha bora wa Mwaka 2017

View attachment 668987

Raia wa Zambia, Patson Daka mwenye umri wa miaka 19 ameshinda tuzo ya Mchezaji bora anayechipukia

View attachment 668985

Huku Klabu ya Wydadi Casablanca kutoka Morocco ikitwaa tuzo ya Klabu bora ya mwaka 2017

View attachment 668986
Namuelewaga sana huyu hanaga makuu yupo serious kweli.
 
Hector Cuper ameshinda tuzo ya kocha bora wa timu ya taifa. Habari imekamilika hiyo?
 
Back
Top Bottom