Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,621
- 8,411
Msukuma ndinga anayewika kupitia Klabu ya Liverpool, Mohamed Salah ameshinda tuzo ya Mchezaji bora kwa mwaka 2017 baada ya kuwabwaga Sadio Mane raia wa Senegal ambaye pia anakipiga Liverpool pamoja na Pierre-Emerick Aubameyang raia wa Gabon anayecheza Dortmund ya Nchini Ujerumani.
Timu ya Taifa ya Misri imeshinda tuzo ya timu bora ya mwaka 2017
Asisat Oshoala amenyakua tuzo ya Mchezaji bora wa mwaka 2017 kwa upande wa Wanawake
Hector Cuper ambaye ni Kocha wa timu ya Taifa, ametwaa tuzo ya Kocha bora wa Mwaka 2017
Raia wa Zambia, Patson Daka mwenye umri wa miaka 19 ameshinda tuzo ya Mchezaji bora anayechipukia
Huku Klabu ya Wydadi Casablanca kutoka Morocco ikitwaa tuzo ya Klabu bora ya mwaka 2017
Timu ya Taifa ya Misri imeshinda tuzo ya timu bora ya mwaka 2017
Asisat Oshoala amenyakua tuzo ya Mchezaji bora wa mwaka 2017 kwa upande wa Wanawake
Hector Cuper ambaye ni Kocha wa timu ya Taifa, ametwaa tuzo ya Kocha bora wa Mwaka 2017
Raia wa Zambia, Patson Daka mwenye umri wa miaka 19 ameshinda tuzo ya Mchezaji bora anayechipukia
Huku Klabu ya Wydadi Casablanca kutoka Morocco ikitwaa tuzo ya Klabu bora ya mwaka 2017