Mohamed Salah ni Mchezaji wa kuchungwa sana EPL

yametimia.............
 
Una maono mazuri sana
 
duuh wee ni noma, respect
 
Tukiandika tumeandika , anayebisha shauri yake
 
Niliposoma hapo tu sijaendelea kupoteza muda wangu wa kusoma habari yote.

Angetangulia kuwapa AS Roma angalau copa italia ningeelewa ulichoandika
sasa hivi unalia kwa aibu kwa pumba yako hii πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚
Jifunze kuweka akiba ya maneno.

Cc Erythrocyte
 
Kitu ambacho hujui ni kwamba Roma wanakikosi kizuri na balanced kuliko livapunga, kama upo tayari sema tuende mchezaji mmoja mmoja
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…