Mohamed Salum: Serikali haiwezi kupokea Maoni ya Mtu mmoja mmoja kutoka Nchi nzima kwenye Suala la Bandari

Mohamed Salum: Serikali haiwezi kupokea Maoni ya Mtu mmoja mmoja kutoka Nchi nzima kwenye Suala la Bandari

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2021
Posts
577
Reaction score
2,595
Bunge ndio sehemu ya wawakilishi wa wananchi, Serikali haiwezi kupokea maoni ya mtu mmoja mmoja kutoka nchi nzima kuhusu suala hili la Bandari.

Kwenye kujadili mkataba, ni wajibu wa Mbunge kupata maoni ya watu wake kwa kuwa ndiye muwakilishi wao, na Bunge hukaribisha maoni kabla ya kupitisha azimio. Mambo haya yote yapo kikatiba, pia yameainishwa kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kauli ya kusema watu hawaafikiani na mkataba huu inategemea na nani anaizungumza lakini Msingi wa Katiba uko wazi.

Mwanasheria Mohamed Salum amesema haya wakati akijibu swali la Mdau lililotaka kujua kwanini Serikali haitaki kusitisha mkataba huu wakati watu wengi wameukataa.

Chanzo: Msemaji Mkuu wa Serikali (Clubhouse)
 
Bunge ndio wawakilishi wa wananchi, Serikali haiwezi kupokea maoni ya mtu mmoja mmoja kutoka nchi nzima kuhusu suala hili la Babdari.

Kwenye kujadili mkataba, ni wajibu wa Mbunge kupata maoni ya watu wake, na Bunge hukaribisha maoni kabla ya kupitisha azimio. Mambo haya yote yapo kikatiba, pia yameainishwa kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kauli ya kusema watu hawaafikiani na mkataba huu inategemea na nani anaizungumza lakini Msingi wa Katiba uko wazi.

Mwanasheria Mohamed Salum amesema haya wakati akijibu swali la Mdau lililotaka kujua kwanini Serikali haitaki kusitisha mkataba huu wakati watu wengi wameukataa.

Chanzo: Msemaji Mkuu wa Serikali (Clubhouse)
He is running out of ideas
 
Yuko sahihi ..
Maoni yakusanywe na wasomi
Mambo ya mikataba ya kisheria ni mambo yanayo hitaji elimu pia..
Maoni yajumuishwe na wasomi kupitia wabunge au mfumo wowote ule...
Huwezi kusubiri watu milioni 60 kila mtu aseme kaelewa mkataba...
 
Yuko sahihi ..
Maoni yakusanywe na wasomi
Mambo ya mikataba ya kisheria ni mambo yanayo hitaji elimu pia..
Maoni yajumuishwe na wasomi kupitia wabunge au mfumo wowote ule...
Huwezi kusubiri watu milioni 60 kila mtu aseme kaelewa mkataba...
Bunge hilihili la CCM? hawa wanao jitoa ufahamu? you must be joking
 
Bunge la CCM halijadili kwa hoja wao ni vijembe na vioja tu wanadhani wanaakili kuliko watanzania wote
Wewe ukishawapa Hali ya kuwa chochote watakachoamua hakiko sahihi na wao watakupaje heshima ya kukusikiliza?ukiwadharau na wao lazima wakujibu dharau...ndo ilivyo
 
Wewe ukishawapa Hali ya kuwa chochote watakachoamua hakiko sahihi na wao watakupaje heshima ya kukusikiliza?ukiwadharau na wao lazima wakujibu dharau...ndo ilivyo
Tumefika hapa tulipo kwa sera ambazo hazina muelekeo .Making policies without knowledge of the aftermath of implemented policies
 
Back
Top Bottom