Mohammed Ali is great champion of all time

Mohammed Ali is great champion of all time

hooligan01

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2013
Posts
664
Reaction score
539
Kati ya machampion niliotokea kuwakubali kutokana na historia zao au wanaweza kuwahamasisha watu kujiamini ili kufanikiwa basi ni huyu bondia wa zamani Mohammed Ali

1. Huyu jamaa alikuwa akijiamini sana na hivo kulimfanya ata kubashiri atashinda raundi ya ngapi kabla ya hata mechi

2. Aliweza kuwaogopesha wapinzani wake na kuwafanya wajidharau kwa kutoa kauli chafu na za dharau kwao kabla ya mechi

3. Alihakikisha anapigana freshi raundi aliyotabiri atashinda na aliweza fanya ivo kwa mechi 3 tu na aliaacha kubashiri baada ya kupigwa pambano alobashiri atashinda raundi ya 1

4. Alipinga vitendo vya kibaguzi marekani

5. Alisifika kwa quotes nzuri kama, float like a butterfly, sting like a bee,the hands can't hit what the eyes can't see, I am the greatest, I said even before i knew I was.

6. Aliipenda dini yake tofauti na wapiganaji wengine ambao ni wahuni sana

7. alichofanya "thrilla in manilla "kilikuwa fundisho tosha kuhusu torellance

8. hakuogopa pambano lolote wala kuchagua kama anavofanya mayweather kuselect mechi
 
Hoolligan,
Nataka nikupe habari za Ali.

Nikimpenda toka udogo wangu nina miaka 12 mwaka 1964 Ali alipochukua
mkanda.

Nilifika Guy Madison Square Garden New York pale imewekwa picha kubwa
sana ya Ali na Joe Frazier.

Nilisimama kuitazama ile picha kwa muda mrefu sana na ikanikumbusha mengi.

Kwanza ikiwa hujasoma kitabu chake kitafute, ''The Greatest My Own Story.''

Ali alipompiga Sonny Liston 1964 wengi walimsifia Ali siku hizo akiitwa Cassius Clay.

1974 alipokuwa anajitayarisha kupigana na George Foreman mtu wake wa massage
Mzee kutoka Cuba alimwambia kuwa Sonny Liston hakuwa chochote.

Ikiwa Ali kwa hakika anataka adhihirishe kuwa yeye ni ''Greatest,'' basi ampige Foreman.

Yule mzee kutoka Cuba alimfananisha Forema na simba na Ali mtu anaetaka kuingia
katika tundu lake kuchukua nyama.

Foreman alikuwa yeye akifika round ya tatu mpinzani anakuwa keshalala chini flat.

Walipomaliza round ya pili sasa wanakwenda ya tatu wapambe wa Foreman wakawa
wanamwambia Foreman kwa sauti ya juu, ''Finish him off.''

Akiwa katika kigoda chake kwenye corner yake daktari wake Dk. Pacheco akamwambia
Ali, ''Unasikia jamaa wanavyosema?''

Ali akajibu, '' Huyu mimi nampiga.''
Pacheco akashangaa akamwambia Ali,'' Basi mpige tumalize hili pambano.''

Ali akamwambia Dk. Pacheco,''Let us have some fun first.''

The rest is history.
 

Attachments

  • Ali at Madison Square Garden.JPG
    Ali at Madison Square Garden.JPG
    27.2 KB · Views: 194
  • ME AT MADISON SQUARE GARDEN NEW YORK.JPG
    ME AT MADISON SQUARE GARDEN NEW YORK.JPG
    31.7 KB · Views: 219
Mohamed Ali Clay, namkubali sana huyu mtu, ni mfano mzuri wakuigwa. hooligan01 nimesoma kitabu cha Ali
 
Last edited by a moderator:
Hoolligan,
Nataka nikupe habari za Ali.

Nikimpenda toka udogo wangu nina miaka 12 mwaka 1964 Ali alipochukua
mkanda.

Nilifika Guy Madison Square Garden New York pale imewekwa picha kubwa
sana ya Ali na Joe Frazier.

Nilisimama kuitazama ile picha kwa muda mrefu sana na ikanikumbusha mengi.

Kwanza ikiwa hujasoma kitabu chake kitafute, ''The Greatest My Own Story.''

Ali alipompiga Sonny Liston 1964 wengi walimsifia Ali siku hizo akiitwa Cassius Clay.

1974 alipokuwa anajitayarisha kupigana na George Foreman mtu wake wa massage
Mzee kutoka Cuba alimwambia kuwa Sonny Liston hakuwa chochote.

Ikiwa Ali kwa hakika anataka adhihirishe kuwa yeye ni ''Greatest,'' basi ampige Foreman.

Yule mzee kutoka Cuba alimfananisha Forema na simba na Ali mtu anaetaka kuingia
katika tundu lake kuchukua nyama.

Foreman alikuwa yeye akifika round ya tatu mpinzani anakuwa keshalala chini flat.

Walipomaliza round ya pili sasa wanakwenda ya tatu wapambe wa Foreman wakawa
wanamwambia Foreman kwa sauti ya juu, ''Finish him off.''

Akiwa katika kigoda chake kwenye corner yake daktari wake Dk. Pacheco akamwambia
Ali, ''Unasikia jamaa wanavyosema?''

Ali akajibu, '' Huyu mimi nampiga.''
Pacheco akashangaa akamwambia Ali,'' Basi mpige tumalize hili pambano.''

Ali akamwambia Dk. Pacheco,''Let us have some fun first.''

The rest is history.

Nimekisoma hicho kitabu chake, he is really the greatest champ.
 
Mohamed Ali Clay, namkubali sana huyu mtu, ni mfano mzuri wakuigwa. hooligan01 nimesoma kitabu cha Ali
Tena umempenda kwa vitendo maana sura ya Cassius Clay umeifanya avatar yako utafiti. Na btw, heading ya thread ilitakiwa iwe: Mohamed Ali, the greatest fighter of all time. Hali ya kiafya ya huyu shujaa inatia huruma sana.
 
Last edited by a moderator:
Tena umempenda kwa vitendo maana sura ya Cassius Clay umeifanya avatar yako utafiti. Na btw, heading ya thread ilitakiwa iwe: Mohamed Ali, the greatest fighter of all time. Hali ya kiafya ya huyu shujaa inatia huruma sana.

Kwani si alishafariki mkuu SHIEKA au Mohamed bado yupo?
 
Last edited by a moderator:
Kwani si alishafariki mkuu SHIEKA au Mohamed bado yupo?

Alifariki? Hapana ila tu navyojua ni kuwa amezeeka sana na amekuwa kama na matatizo ya ubongo labda kwa sababu ya zile ngumi walizokuwa wanapigana.
 
Last edited by a moderator:
Ndoa yake na Belinda iliishia wapi?
Wee bwana wee! Unajua Kim nana, Mohamed Ali alikuwa mtu wa michepuko sana.
Wakiwa na Belinda Mohamed alichepukia kwa mwanamama aitwaye Victoria
Porsche na mahusiano haya mapya yakavunja ndoa ya Belinda mwaka
1977. Victoria akawa mke wa tatu kwa Mohamed Ali. Belinda akaachwa na watoto wake wanne,
kati ya hao wakiwa mapacha:Jamilla na Rasheeda.
 
Last edited by a moderator:
Wee bwana wee! Unajua Kim nana, Mohamed Ali alikuwa mtu wa michepuko sana.
Wakiwa na Belinda Mohamed alichepukia kwa mwanamama aitwaye Victoria
Porsche na mahusiano haya mapya yakavunja ndoa ya Belinda mwaka
1977. Victoria akawa mke wa tatu kwa Mohamed Ali. Belinda akaachwa na watoto wake wanne,
kati ya hao wakiwa mapacha:Jamilla na Rasheeda.

Duh, nliipenda couple yao, nilipenda vile alivyokuwa anaeleza Belinda alikuwa anascream kama mwendawazimu Siku Ali akipigwa.
Pia alivyomvumilia Mke wake vile alivyozaa watoto wa kike tupu Maryum, Rasheeda na Jamillah hadi Mungu alipowajaalia mtoto wa kiume Muhammad jr.
Watu waliongea sana na wapinzani wake waliitumia kama mbinu ya kumuumiza kisaikolojia kabla ya mechi kuwa anazaa majike tupu...ila mwenyewe alikuwa anasema it was a blessing..
Kumbe waliachana? basi ndoa ngumu jamani.
 
Last edited by a moderator:
Hoolligan,
Nataka nikupe habari za Ali.

Nikimpenda toka udogo wangu nina miaka 12 mwaka 1964 Ali alipochukua
mkanda.

Nilifika Guy Madison Square Garden New York pale imewekwa picha kubwa
sana ya Ali na Joe Frazier.

Nilisimama kuitazama ile picha kwa muda mrefu sana na ikanikumbusha mengi.

Kwanza ikiwa hujasoma kitabu chake kitafute, ''The Greatest My Own Story.''

Ali alipompiga Sonny Liston 1964 wengi walimsifia Ali siku hizo akiitwa Cassius Clay.

1974 alipokuwa anajitayarisha kupigana na George Foreman mtu wake wa massage
Mzee kutoka Cuba alimwambia kuwa Sonny Liston hakuwa chochote.

Ikiwa Ali kwa hakika anataka adhihirishe kuwa yeye ni ''Greatest,'' basi ampige Foreman.

Yule mzee kutoka Cuba alimfananisha Forema na simba na Ali mtu anaetaka kuingia
katika tundu lake kuchukua nyama.

Foreman alikuwa yeye akifika round ya tatu mpinzani anakuwa keshalala chini flat.

Walipomaliza round ya pili sasa wanakwenda ya tatu wapambe wa Foreman wakawa
wanamwambia Foreman kwa sauti ya juu, ''Finish him off.''

Akiwa katika kigoda chake kwenye corner yake daktari wake Dk. Pacheco akamwambia
Ali, ''Unasikia jamaa wanavyosema?''

Ali akajibu, '' Huyu mimi nampiga.''
Pacheco akashangaa akamwambia Ali,'' Basi mpige tumalize hili pambano.''

Ali akamwambia Dk. Pacheco,''Let us have some fun first.''

The rest is history.

endelea mkuu vipi aliishia round ya ngapi
 
Alifariki? Hapana ila tu navyojua ni kuwa amezeeka sana na amekuwa kama na matatizo ya ubongo labda kwa sababu ya zile ngumi walizokuwa wanapigana.

yani imefika steji anashindwa kuongea
 
Alifariki? Hapana ila tu navyojua ni kuwa amezeeka sana na amekuwa kama na matatizo ya ubongo labda kwa sababu ya zile ngumi walizokuwa wanapigana.

Usisikie maneni ya kitaa wewe.

PARKINSON's disease hausababishwi na ngumi wewe.
Kuna zaidi ya wagonjwa milioni moja wa Parkinson nchini Marekani ambao hata hawana uhusiano na ngumi.

Wako wazee wengine wa zaman kama George foreman wapinzani wakuu wa Ali kipindi icho wako vizuri tu.
Tyson yupo healthy....julio cesar chavez....floyd mayweather sr...etc
Wako vizuri tu
 
Back
Top Bottom