Mohammed alli wa jicho pevu nini nani huyu?

Mchimba Chumvi

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2016
Posts
2,244
Reaction score
5,500
Wakubwa natanguliza shukurani kwenu wote na kuwapa sifa tele kwamba mmekuwa msaada tosha kwa jamii katika mafundisho na hoja zenu humu

Hoja yangu kuhusu huyu mtangazaji na mwandaaji wa makala za jicho pevu bwana Mohammed alli nimekuwa nikishitushwa sana na mazingira ya kazi yake hasa makala kama songobingo la isiolo ya mwaka 2011
Maswali yangu ni kama ifuatavyo wakuu wanajukwaa
1) Mohammed baada yakusomea uandishi wa habari alipa mafunzo gani zaidi?
2) suala la ulizi kwake lipo vipi nadhani ingekuwa hapa angekuwa kama hapa kwetu angekuwa katobolewa macho
NB:cv nimuhimu sana hapa

Naomba kuwasilisha wakuu ninaimani hakuna linaloshindikana hapa JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…