GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"....atakapozeeka kabisa"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ameshamalizana na Simba SC dakika 15 zilizopita na anaendelea kubakia Simba SC mpaka pale atakapozeeka kabisa.
umeandika kama umekalia kitu flani ivi uko nyumaAmeshamalizana na Simba SC dakika 15 zilizopita na anaendelea kubakia Simba SC mpaka pale atakapozeeka kabisa.
Kwani si kila mtu anajua Yanga ndio waga mmechomeka mwiko huko Nyuma, huyo alieandika hapo ni Simba mkuuumeandika kama umekalia kitu flani ivi uko nyuma
Topolo languageumeandika kama umekalia kitu flani ivi uko nyuma
Kwanhiyo kijana katema ofder ya mamelodi sundown na chiefs?Ameshamalizana na Simba SC dakika 15 zilizopita na anaendelea kubakia Simba SC mpaka pale atakapozeeka kabisa.
Na sasa kuna Clause tumeweka ambapo Timu za ndani kama Azam FC ikimtaka itoe Tsh Bilioni 1 tu.
Kama Klabu ya Yanga SC ikimuhitaji basi itabidi imnunue kwa Tsh 37 Bilioni tu.
Klabu zote za Afrika Kusini au Uarabuni zikimuhitaji basi tutawapa ( tutawauzia ) kwa Tsh Milioni 500 tu pekee.
Yaani Tshabalala atoke anakokula Kuku na Mrija 24/7 aende wanakogombania Maukoko ya Ugali, Mnafu na Maharage yaliyochacha Yanga SC? Hivi mpo serious kweli nyie?
Asante Mo Dewji na Asanteni Simba SC.
Tena chenye ncha kali yan[emoji23]umeandika kama umekalia kitu flani ivi uko nyuma
Aende akachukue namba ya nani kwenye hizo team?Kwanhiyo kijana katema ofder ya mamelodi sundown na chiefs?
Sii walikuwa wanamtaka sii maana yake anaenda kuchukua namba ya mtu jamani.Aende akachukue namba ya nani kwenye hizo team?
Labda akachezee benchi na kubadilisha hali ya hewaSii walikuwa wanamtaka sii maana yake anaenda kuchukua namba ya mtu jamani.
Alafu sii unajua tena ni opportunity ya kuishi kwa madiba unachukua ndugu zako kama wadogo zako wanapiga skonga hapo angalau wakitoka huko lugha ya malkia ilishakaa sawa.
Acha dharau mzeya...kwani hawezi kumuweka mtu bench pale chiefs? Chiefs wenyewe wamejichokea wale pale anapata nambaLabda akachezee benchi na kubadilisha hali ya hewa
Atapata namba ya benchiAcha dharau mzeya...kwani hawezi kumuweka mtu bench pale chiefs? Chiefs wenyewe wamejichokea wale pale anapata namba
Wee jamaa shabiki wa yanga nini?Atapata namba ya benchi
Walikuambia lini labda kuwa wanamtaka?Kwanhiyo kijana katema ofder ya mamelodi sundown na chiefs?
Mkuu nimecheka hadi Kusahau na Shida zangu kwa muda. Kuna Watu mnajua Kutania hapa JF mpaka raha. Umenivunja mbavu zangu mno.Labda akachezee benchi na kubadilisha hali ya hewa
Unauliza Sukari Mtibwa / Kagera Mkuu?Wee jamaa shabiki wa yanga nini?
Sii manager wake alisema au ndio ilikuwa kuwatingisha kidogo simbaWalikuambia lini labda kuwa wanamtaka?