Pre GE2025 Mohammed Kawaida: Tunaomba mtuachie ACT Wazalendo tupambane nao

Pre GE2025 Mohammed Kawaida: Tunaomba mtuachie ACT Wazalendo tupambane nao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Cde. Mohammed Ali Kawaida (MCC) ameomba Chama cha Mapinduzi (CCM) kiwakabidhi vijana hao kushughulika na chama cha upinzani Zanzibar (ACT - Wazalendo) ambao wamekuwa wakikejeli maendeleo makubwa ambayo yanafanyika katika Visiwa vya Zanzibar pia kukashifu viongozi na Mapinduzi Matukufu na kusema UVCCM itahakikisha inapambana nao katika mwaka huu wa Uchaguzi Mkuu 2025.


Pia, Soma: ACT Wazalendo kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi 2025
 
Back
Top Bottom