Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Hwasha,Mtoa mada alikuomba ueleze historia yake tangu utoto,fani zake na watoto wake.Umeelezea kipindi cha miaka kumi tu cha uongozi wake. Kwa umri wa mzee wetu Mwinyi hii ni asilimia ngapi ya hisoria yake?
Ninadhani uliyoyaacha yangesaidia wanetu kujifunza njia ya kupita bila shari kufikia kiwango cha juu kabisa cha uongozi wa nchi yetu.
Al gator,Oky: Je malalamiko ya mtikila yalikua na ukweli kwa asilimia ngapi!? Maana kama ni upendeleo inawezekana kuwa ilikua ni Ukweli kwakua hata sasa kwenye hii serikali ya mtukufu na Mtakatifu John tunaona udini na ukanda wa wazi wazi. So Ustadh unaweza kutupa Opinion ya kila upande bila kuegemea na pia kwa kusema ukweli wote.
Oky, Lakini kuelezea malalamiko ya Mtikila kama yalikua na ukweli au yalikua ni ya uongo kwa 100% bado utakua ndani ya mada.Al gator,
Kwanza ili tuelewane na wewe ujue unazungumza n nani napenda
nikufahamishe kuwa mimi si ''ustadh,'' kama unavyoniita.
Pili nimeombwa nizungumze historia ya Ali Hassan Mwinyi.
Ikiwa unataka mengine itabidi ufungue uzi mpya.
Al Gator,Oky, Lakini kuelezea malalamiko ya Mtikila kama yalikua na ukweli au yalikua ni ya uongo kwa 100% bado utakua ndani ya mada.