Moise Katumbi: Serikali ya Congo DR iachane na imani kuwa uchumi utapatikana kwa dhahabu tu

Moise Katumbi: Serikali ya Congo DR iachane na imani kuwa uchumi utapatikana kwa dhahabu tu

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Moise Katumbi ameshauria Serikali ya Congo kuwa waachane na ile imani ambayo Ubelgiji walituachia kuwa uchumi wa nchi yetu utapatikana na dhahabu tu. Waangalie katika ukulima na uvuvi pia.

Yaani ameshauri Serikali ya Congo kufungua bank ya kukopesha wakulima pesa ili Congo tuanze kuzalisha vyakula vingi na pia itasaidia wakongo kupata ajira nyingi na kukuza uchumi wa nchi yetu.
FB_IMG_1676301993860.jpg
 
Ni kweli ni wakati sasa Kongo kujikita kwenye sekta za kilimo na shughuli zingine siyo akili imelala kwwnye dhahabu tu wakati wana maeneo makubwa yenye rutuba.
 
Du! tunapata shida na huyo katumbi wenu wakati yeye ndo fisadi wa kutisha..mjanjamjanja tu!!! hakuna kitu hapo
 
Ni kweli ni wakati sasa Kongo kujikita kwenye sekta za kilimo na shughuli zingine siyo akili imelala kwwnye dhahabu tu wakati wana maeneo makubwa yenye rutuba.
Pengine hawaoni maana yoyote kuwekeza kwenye kilimo na hasa wakiwaangalia Majirani zao kina TZ na wengine ambao wamewekeza kwenye kilimo na hakuna hatua yoyote waliyopiga kuwazidi.
 
Mwafrika uchumi wake ni ngono na mkono kwenda kinywani baas akisubiria kufa.
 
Wakongo chakula kingi wanaagiza nje Moise yupo sahihi mchele hapo Lumbumbashi haushikiki kila Truck za bongo unakuta zina vipeto vya kutosha hao madereva wamebeba...wafanye kama Zambia sasa hivi wamekua wazalishaji wakubwa wa mahindi wakati miaka ya nyuma walikua wanategemea kutoka Tanzania sasa hivi ni mchele tuu...maharage,karanga zipo nyingi na bei nzuri Zambia..
 
Hawa wazee wa kukata mauno ,kilimo na wao wapi na wapi
 
Changamoto ya Congo ni kukosa amani, ndio maana hata kwenye kilimo wengi wanahofia kuwekeza maana kabla hujavuna wanaweza kuja watu wenye mitutu ambayo hujawahi kuiona na kuondoka na kila kitu
 
Back
Top Bottom