LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Uta stop Ku pretend kumpenda / kumkubali / kumtolerate ndugu kimeo wa ex wako ambae katika hali ya kawaida usingeweza kuwa na ukaribu nae ila ulizamika kuwa Na ukaribu nae Kwa Sababu ya kuwa katika mahusiano Na ex wako..
Kwa mfano binafsi niliwahi kutoka Na dada mmoja yupo vizuri sana ila ana mdogo wake wa kike.
Huyo mdogo wake wa kike ni wale wanawake wanaoitwa " machafuchafu" kichwani alikuwa saa mbili kasorobo.
Sometime no sometime yes.
Wanaume walikuwa wanamzalisha ovyo ovyo mpaka familia yake wakamfunga kizazi. ( Yani Ni kama mwendawazimu vile / so alikuwa anazalishwa na aina ya wanaume wanao wazalishaga vichaa)
Kuoga mpaka dada zake wamkamate Kwa nguvu..
Huyu alikuwa akikutana Na Mimi ananiita shemeji. Mara nyingi alikuwa anakutana Na Mimi nikiwa Na dada Ake.
Sikuwa Na jinsi Zaidi ya kumuita shemeji Na Mimi japokua ndani ya nafsi yangu sikuwa nikipendezwa na Jambo Hilo.
Damu nzito kuliko maji sikutaka kumuonyesha dada MTU ( ex wangu ) kwamba nilikuwa sipendezwi kuwa around mdogo wake huyo Kwa Sababu sikutaka kuumiza hisia zake so nikawa najikaza hivyo hivyo ingawa moyoni nilikuwa sipendezwi kabisa kuwa around mtu huyo au kulazimika kumuita shemeji or something..
( sikuwa namchukia ila nilikuwa sipendezwi nae .
I was not comfortable to be around her or to reffer to her as shemeji)
Nilivyo break up na huyo mdada Hali hii ilistop . Siku pretend Tena. It was four years of captivity...
Kwa mfano binafsi niliwahi kutoka Na dada mmoja yupo vizuri sana ila ana mdogo wake wa kike.
Huyo mdogo wake wa kike ni wale wanawake wanaoitwa " machafuchafu" kichwani alikuwa saa mbili kasorobo.
Sometime no sometime yes.
Wanaume walikuwa wanamzalisha ovyo ovyo mpaka familia yake wakamfunga kizazi. ( Yani Ni kama mwendawazimu vile / so alikuwa anazalishwa na aina ya wanaume wanao wazalishaga vichaa)
Kuoga mpaka dada zake wamkamate Kwa nguvu..
Huyu alikuwa akikutana Na Mimi ananiita shemeji. Mara nyingi alikuwa anakutana Na Mimi nikiwa Na dada Ake.
Sikuwa Na jinsi Zaidi ya kumuita shemeji Na Mimi japokua ndani ya nafsi yangu sikuwa nikipendezwa na Jambo Hilo.
Damu nzito kuliko maji sikutaka kumuonyesha dada MTU ( ex wangu ) kwamba nilikuwa sipendezwi kuwa around mdogo wake huyo Kwa Sababu sikutaka kuumiza hisia zake so nikawa najikaza hivyo hivyo ingawa moyoni nilikuwa sipendezwi kabisa kuwa around mtu huyo au kulazimika kumuita shemeji or something..
( sikuwa namchukia ila nilikuwa sipendezwi nae .
I was not comfortable to be around her or to reffer to her as shemeji)
Nilivyo break up na huyo mdada Hali hii ilistop . Siku pretend Tena. It was four years of captivity...