Moja kati ya mikataba mibovu kuwahi kutokea

Moja kati ya mikataba mibovu kuwahi kutokea

humphrey_on_th_forum

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
278
Reaction score
233
Hello team,

Moja kwa moja kwenye mada.

Binafsi nimeshuhudia mikataba inayoandaliwa na wamiliki wa nyumba za kupanga wakiandaa mikataba ambayo ni mibaya, kandamizi na yenye kukomoa utadhani wamelazimishwa kupangisha vyumba.

Je, wizara inayohusika na makazi, kwa nini isiingilie kati suala la kuandaa mikataba kwa wapangaji?. Ni vyema mikataba hiyo iwe rafiki na isiwe ya kionevu kama baadhi ya mikataba inayotumiwa na wenye nyumba.

Nakala niliyoiambatanisha ni mfano wa moja ya mkataba kandamizi kutokana na masharti yaliyopo kwenye mkataba huo.
Nawasilisha
IMG-20201118-WA0004.jpg
 
Mkataba mkubwa ova unanunua mgodi, kwani kodi sh ngapi? Bila shaka utakua unapanga uswazi
 
Kajenge nyumba yako hauto kumbana na iz kasumba unazo sema ni mikataba mibovu

Ngoja nikutonye huu mkataba mbona mzur sana huu katafute mkataba wa ununuz wa ndege
Namshangaa anakuja kulialia hapa,,,,, Kuna nyumba wewe mwenyewe unakimbia unaacha kodi
 
Samahani hiv kwa hilo sharti namba 1 si naweza tumia kitambulisho cha mjasiriamali. Maana ni kitambulisho cha machinga hicho kuingia sokoni kuuza bidhaa
 
Hutaki kajenge yako, uweke mikataba mizuri.
 
Mikataba mingi haina uhalisia na maisha huko unakotaka kuishi.
Mara nyingi wenye nyumba uenda stationary na kumwambia muhudumu awatengenezee mkataba.
Ukianza kuishi hapo ndio utajua yalimo yamo?
 
Samahani hiv kwa hilo sharti namba 1 si naweza tumia kitambulisho cha mjasiriamali. Maana ni kitambulisho cha machinga hicho kuingia sokoni kuuza bidhaa
Bila shaka mkuu nimetoka kuchukua mkopo bank kwa kutumia hicho kitambulisho.
Kwahiyo matumizi yake yanarandana na cha taifa. Ila hiki ni zaidi. Maana chenyewe ni mali isiyo hamishika(kinahesabiwa hivi na mabenki).😂
 
Nadhani unatakiwa ujenge yako hata kama ni vyumba viwili ili uepuke usumbufu.By the waya wapangaji ndiyo waharibifu sana wa nyumba za wenzao.Ijapo huo mkataba ni una vipengele vigumu hasa kipengele cha kutofanya sherehe bila idhini ya mwenye nyumba
 
Mkuu huo mkataba ni soft sana..
Hapo hajaongelea kuhusu kuingiza madem, Sheria ya maji na umeme haipo hapo.
Sheria ya redio hapo haipo.
 
Huna akili sawa sawa wewe jamaa. Huo mkataba una ubovu gani!?
 
Tatizo watu qwengi qanaamini mkataba ni upande mmoja .
Huo sio mkataba bali mashart kama mkataba una haki ya ku contest vipengelew usivyokubaliana navyo na hapo ninkwamba mnaweza kuwa wapangaji kila mmoja na mkataba wake
 
Mkataba mbona hauna mhuri wa mwanasheria? haya maandishi hayana baraka za serikali unaweza vunja masharti na asikufanya chochote
 
Back
Top Bottom