Moja, Mbili, Tatu, Nne.....

Digna37 ungetuambia kama kuna sensa leo tungekusanya na wengine hahaha!
 
Digna kuna zaidi ya hao ngoja nikuongezee list ya mainvisible,,,lol
 
WiseLady, sikujua chumba hiki kimejaa kimefurika hivi!
 
Digna uko kwenye sensa au??

Dena, nilivyoona watu hawahesabiki kwa wingi nikatamani kuwahesabu, lakini nilipofika 4 nikashindwa maana ni wengi sana.... Lol Lol Lol!
 
Dena, nilivyoona watu hawahesabiki kwa wingi nikatamani kuwahesabu, lakini nilipofika 4 nikashindwa maana ni wengi sana.... Lol Lol Lol!

Mapenzi ndo kitovu cha maisha dada bila hivyo mmmhh maisha hayaendi
 
Tunapewa namba au!!! Kwa hiyo nichungue namba yangu sio, haya!!!
 
hi hi hi!mhandisi ndo naanua hema hapa nikukute engaruka ama silalei

mhandisi naomba tupitie njia ya Malanja maana hiyo ya kawaida nasikia haifai.......usisahau kuja na bainokula
 
mhandisi naomba tupitie njia ya Malanja maana hiyo ya kawaida nasikia haifai.......usisahau kuja na bainokula


hahahaha!mhandisi tunaenda kutalii ama kutibiwa bainokula ya nini?kama malanja poa iwe hivyo basi maana labda kuingilia wasso ndo rahisi,uje na kibuyu chako cha loshoro yangu ni kidogo haitutoshi wawili
 
hahahaha!mhandisi tunaenda kutalii ama kutibiwa bainokula ya nini?kama malanja poa iwe hivyo basi maana labda kuingilia wasso ndo rahisi,uje na kibuyu chako cha loshoro yangu ni kidogo haitutoshi wawili

umesahau kuwa tukienda leo tunarudi baada ya wiki.....kwa hiyo ni afadhali tuende na bainokula na kamera.....huwezi jua tunaweza kuona chochote cha kutuvutia......we njoo na loshoro ni nitakuja na kitawa na kiburu......hivi ni vyakula vizuri kwa hali ya kwa babu
 
hebu tuwaite wote waje..................mana usije ukagawa pipi hapa wakakosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…