Moja ya Apps nzuri kuwa nazo kwenye simu.

Moja ya Apps nzuri kuwa nazo kwenye simu.

Kop0

Member
Joined
Oct 6, 2021
Posts
76
Reaction score
111
Hii apps ipo playstore ni moja ya apps nzuri sana. Apps hii ni kama Insta naweza sema au tiktok ila inakupa task za kufanya na ukiweza kufanya kwa wakati wanakulipa japo kidogo. Pia ukiweza tengeneza video fupi ya sec 90 yenye content nzuri ikapendwa na watu namaanisha likes nyingi unapata pia maokoto japo kidogo. Hapa utapata chance ya kumeet new friends toka mataifa mbalimbali.

Kama unapenda kuangalia video fupi zenye ujumbe mzuri au kujifunza jambo flani basi app hii ni bora kabisa. Uwezi kuta mambo ya kijinga ambayo hayana msingi.

 
Usipokuwa making hata ushauri wa Bure gharama
 
Mimi ndoa niliyofunga na google ecosystem kuvunjika labda aje papa kutoka vatican.
Gmail, google search, google drive, google calender yani bila calender hii lofe gumu, google meet.
 
Hii apps ipo playstore ni moja ya apps nzuri sana. Apps hii ni kama Insta naweza sema au tiktok ila inakupa task za kufanya na ukiweza kufanya kwa wakati wanakulipa japo kidogo. Pia ukiweza tengeneza video fupi ya sec 90 yenye content nzuri ikapendwa na watu namaanisha likes nyingi unapata pia maokoto japo kidogo. Hapa utapata chance ya kumeet new friends toka mataifa mbalimbali.

Kama unapenda kuangalia video fupi zenye ujumbe mzuri au kujifunza jambo flani basi app hii ni bora kabisa. Uwezi kuta mambo ya kijinga ambayo hayana msingi.

Walianza kama motivation speakers, sasa hv wamekuwa ma pastors!
Huko kila insta kila MTU ni instructor wa, mazoezi, anajua jinsi ya kutoa tumbo, kutengrneza six pack!
Kila MTU anajua kutibu nguvu za kiume, Kuzaa ma Pacha,
Jinsi ya kutokumaliza mapema, na madudu mengine,
Kuna dokta wa mitishamba pale mawasiliano Dar,ili kushawishi watu watumie dawa zake,na kujionyesha ye ye ni credible, amecopy sauti ya maghufuli, na samia wakiongelea mitishamba,!
Hv kama kweli wewe unatibu kwa mitishamba, kuna u lazima gani kutumia minutes za kitaperi kuvutia watu,
 
Back
Top Bottom