kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Rais wa Zanzibar yupo na Mtizamo tofauti kuhusu Zanzibar, pamoja na kwamba anajua aliingia kwa njia zenye vitendo vya kidemokrasia bado anatambua kwamba bila Zanzibar moja hakuna maendeleo.
Amejaribu alivyoweza kumvuta Maalim Seif karibu kwa lengo lakupunguza machungu lakini bado hajaondoa kilio Cha wengi.
Rais wa Zanzibar anayo nafasi ya kuangalia upya namna yakujadili na Maalim seif kuona viongoz wa Uhamsho wanaachiwa au kesi yao kusikilizwa kisha wahukumiwe wajue wanatumikia kifungo.
Lakini pia lipo Jambo kubwa la kimuungano ambalo limeibuka baada ya baraza la Mawaziri kutangazwa, nadhani ipo shida hasa pale Mawazir wote wanapotoka Znz na pale Manaibu wanapoonekana wawili tu kwenye baraza.
Jambo la mwisho nikutengeneza maridhiano baina ya wazanzibar na si maridhiano yakisiasa kwa manufaa ya viongozi.
Amejaribu alivyoweza kumvuta Maalim Seif karibu kwa lengo lakupunguza machungu lakini bado hajaondoa kilio Cha wengi.
Rais wa Zanzibar anayo nafasi ya kuangalia upya namna yakujadili na Maalim seif kuona viongoz wa Uhamsho wanaachiwa au kesi yao kusikilizwa kisha wahukumiwe wajue wanatumikia kifungo.
Lakini pia lipo Jambo kubwa la kimuungano ambalo limeibuka baada ya baraza la Mawaziri kutangazwa, nadhani ipo shida hasa pale Mawazir wote wanapotoka Znz na pale Manaibu wanapoonekana wawili tu kwenye baraza.
Jambo la mwisho nikutengeneza maridhiano baina ya wazanzibar na si maridhiano yakisiasa kwa manufaa ya viongozi.