Moja ya mambo yaliyonifanya nichukie awamu ya tano ni suala la utekaji. Hata kama wakosoaji ni wapumbavu basi usitumike upumbavu kukabiliana nao.

Moja ya mambo yaliyonifanya nichukie awamu ya tano ni suala la utekaji. Hata kama wakosoaji ni wapumbavu basi usitumike upumbavu kukabiliana nao.

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
MOJA YA MAMBO YALIYONIFANYA NICHUKIE AWAMU YA TANO NI SUALA LA UTEKAJI. HATA KAMA WAKOSOAJI NI WAPUMBAVU BASI USITUMIKE UPUMBAVU KUKABILIANA NAO.

Anaandika, Robért Heriel
Mtibeli

Suleiman aliwahi kusema,
Mhubiri 7:17
[17]Usiwe mwovu kupita kiasi;
Wala usiwe mpumbavu;
Kwani ufe kabla ya wakati wako?
Be not over much wicked, neither be thou foolish: why shouldest thou die before thy time?

Huu ni ushauri bora wa wakati wote kwa Watu wote.

Lugha za kejeli bila staha.
Lugha za matusi pasipo heshima.
Mashambulizi ya kudhalilisha utu badala ya kuhifadhi akiba ya maneno ya hekima.

Hakuna anayependa kutunwa. Hata mtu dhaifu kabisa au mtoto mdogo hukasirika atukanwapo.
Hata Mbwa ukimkejeli anaweza kukuuma.

Katika ngazi ya Familia,
Mke anapotoa matusi kwa Mumewe huweza kupigwa makofi na hata kuumizwa.
Mume anapotukana na kumdhalilisha mke wakati mwingine tusikia kesi za kumwagiwa maji ya moto au mafuta

Watoto wanapoleta shida na kuonyesha utovu wa nidhamu hupewa adhabu.

Hii yote ni katika namna ya kuwekana sawa na kutafuta HESHIMA.

Suala la reactions mtu anapofanyiwa dhihaka, dharau au kudhalilishwa hutofautiana baina ya mtu na mtu.
Wapo wenye Hasira wasio na uvumilivu.
Wapo wapole kama sisi Watibeli ingawaje uvumilivu nao unamipaka.

Wapo wapumbavu
Na wapo wenye hekima.
Ingawaje sheria zipo lakini hiyo haiondoi reactions za Watu hao katika kukabiliana na wale wanaoonyesha kuwadharau na kuwadhalilisha.

Taikon na Watibeli wengine hawapendi utekaji. Hatupendi mtu atekwe, kuteswa na kuuawa.

Tunajua utekaji ni kinyume cha Haki.
Ingawaje tunajua pia wanaotekwa huenda kuna sehemu hawakutenda haki.

Tunajua pia wapo wanaotekwa Wakiwa na Haki.
Yaani hawajatukana mtu. Hawajadhalilisha mtu. Kosa lao ni Haki na kusema Kweli.

Watekaji hujui wanayemteka anahaki au hana. Watekaji hupenda kutafuta kisingizio cha kuhalalisha utekaji wao. Wakikosa visingizio hujiona na hatia
Lakini wakipata kisingizio hata kimoja hujipa Haki na roho zao huwa nyeupe.

Kuna Watu hufikiria kuwa Wanasiasa huteswa na damu za wale wanaowaua au kuwateka na kuwatesa. Elewa, watekaji hupata hatia Pale wakijua kuwa mtu wanayeenda kumteka hana kosa lolote na hata walipojaribu kutafuta kisingizio walikosa.

Elewa hata shetani hujihisi hatia pale anapomfamnyia mtu ubaya mtu asiye na kosa lolote. Hata alipotafuta kisingizio alikosa.

Unapomtukana mtu na kumdhalilisha mtu elewa unavunja sheria.

Kwa mfano, kiongozi fulani ni Fisadi au Jizi hiyo haikupi haki ya kumdhalilisha hasa ukiwa hauna ushahidi. Wote mnakuwa wahalifu.
Na hiyo itakuwa ni vita vya wahalifu ambavyo kikawaida havinaga kanuni wala Haki haizingatiwi.

Namna ya kupambana na Mafisadi kwa haki,
Mosi, kwenda mahakamani.
Pili, kama njia ya kwanza itashindikana basi njia ya pili ni viongozi wa dini kuzungumza kutumia ushawishi wao kuhakikisha mafisadi wanapewa haki yao.

Tatu, ikiwa viongozi wa dini watakuwa pamoja na mafisadi basi hatua ya mwisho ni wananchi kuungana kuwatoa mafisadi na hao viongozi wa dini kimabavu. Hapa itahitaji kujitoa kikamilifu kwa wananchi.

Serikali ipinge na kuondoa Watu wasio na hekima wenye maamuzi ya kipumbavu ya utekaji hasa kwa kesi ndogondogo za kutukanana na kukosoana.

Utekaji ni muhimu kwa Watu wanaounda magenge ya kigaidi.

Lakini kumteka mtu kisa katukana matusi ya nguoni au kudhalilisha kiongozi au mtu sio uungwana. Hiyo ni kesi ambayo inaweza kupitishwa kwa njia ya kawaida.

Hata hivyo hekima hizo hazitatumika ikiwa UPUMBAVU ukiwa kwa kiwango cha juu kwa mpumbavu.

Ukiwa mpumbavu kupita kiasi usitegemee hekima itatumika kukuokoa. Kwa maana kadiri upumbavu unavyozidi ndivyo msaada kutoka kwenye hekima unavyozidi kupungua.

Acha nipumzike sasa.
Ijumaa Kareem

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
MOJA YA MAMBO YALIYONIFANYA NICHUKIE AWAMU YA TANO NI SUALA LA UTEKAJI. HATA KAMA WAKOSOAJI NI WAPUMBAVU BASI USITUMIKE UPUMBAVU KUKABILIANA NAO.

Anaandika, Robért Heriel
Mtibeli

Suleiman aliwahi kusema,
Mhubiri 7:17
[17]Usiwe mwovu kupita kiasi;
Wala usiwe mpumbavu;
Kwani ufe kabla ya wakati wako?
Be not over much wicked, neither be thou foolish: why shouldest thou die before thy time?

Huu ni ushauri bora wa wakati wote kwa Watu wote.

Lugha za kejeli bila staha.
Lugha za matusi pasipo heshima.
Mashambulizi ya kudhalilisha utu badala ya kuhifadhi akiba ya maneno ya hekima.

Hakuna anayependa kutunwa. Hata mtu dhaifu kabisa au mtoto mdogo hukasirika atukanwapo.
Hata Mbwa ukimkejeli anaweza kukuuma.

Katika ngazi ya Familia,
Mke anapotoa matusi kwa Mumewe huweza kupigwa makofi na hata kuumizwa.
Mume anapotukana na kumdhalilisha mke wakati mwingine tusikia kesi za kumwagiwa maji ya moto au mafuta

Watoto wanapoleta shida na kuonyesha utovu wa nidhamu hupewa adhabu.

Hii yote ni katika namna ya kuwekana sawa na kutafuta HESHIMA.

Suala la reactions mtu anapofanyiwa dhihaka, dharau au kudhalilishwa hutofautiana baina ya mtu na mtu.
Wapo wenye Hasira wasio na uvumilivu.
Wapo wapole kama sisi Watibeli ingawaje uvumilivu nao unamipaka.

Wapo wapumbavu
Na wapo wenye hekima.
Ingawaje sheria zipo lakini hiyo haiondoi reactions za Watu hao katika kukabiliana na wale wanaoonyesha kuwadharau na kuwadhalilisha.

Taikon na Watibeli wengine hawapendi utekaji. Hatupendi mtu atekwe, kuteswa na kuuawa.

Tunajua utekaji ni kinyume cha Haki.
Ingawaje tunajua pia wanaotekwa huenda kuna sehemu hawakutenda haki.

Tunajua pia wapo wanaotekwa Wakiwa na Haki.
Yaani hawajatukana mtu. Hawajadhalilisha mtu. Kosa lao ni Haki na kusema Kweli.

Watekaji hujui wanayemteka anahaki au hana. Watekaji hupenda kutafuta kisingizio cha kuhalalisha utekaji wao. Wakikosa visingizio hujiona na hatia
Lakini wakipata kisingizio hata kimoja hujipa Haki na roho zao huwa nyeupe.

Kuna Watu hufikiria kuwa Wanasiasa huteswa na damu za wale wanaowaua au kuwateka na kuwatesa. Elewa, watekaji hupata hatia Pale wakijua kuwa mtu wanayeenda kumteka hana kosa lolote na hata walipojaribu kutafuta kisingizio walikosa.

Elewa hata shetani hujihisi hatia pale anapomfamnyia mtu ubaya mtu asiye na kosa lolote. Hata alipotafuta kisingizio alikosa.

Unapomtukana mtu na kumdhalilisha mtu elewa unavunja sheria.

Kwa mfano, kiongozi fulani ni Fisadi au Jizi hiyo haikupi haki ya kumdhalilisha hasa ukiwa hauna ushahidi. Wote mnakuwa wahalifu.
Na hiyo itakuwa ni vita vya wahalifu ambavyo kikawaida havinaga kanuni wala Haki haizingatiwi.

Namna ya kupambana na Mafisadi kwa haki,
Mosi, kwenda mahakamani.
Pili, kama njia ya kwanza itashindikana basi njia ya pili ni viongozi wa dini kuzungumza kutumia ushawishi wao kuhakikisha mafisadi wanapewa haki yao.

Tatu, ikiwa viongozi wa dini watakuwa pamoja na mafisadi basi hatua ya mwisho ni wananchi kuungana kuwatoa mafisadi na hao viongozi wa dini kimabavu. Hapa itahitaji kujitoa kikamilifu kwa wananchi.

Serikali ipinge na kuondoa Watu wasio na hekima wenye maamuzi ya kipumbavu ya utekaji hasa kwa kesi ndogondogo za kutukanana na kukosoana.

Utekaji ni muhimu kwa Watu wanaounda magenge ya kigaidi.

Lakini kumteka mtu kisa katukana matusi ya nguoni au kudhalilisha kiongozi au mtu sio uungwana. Hiyo ni kesi ambayo inaweza kupitishwa kwa njia ya kawaida.

Hata hivyo hekima hizo hazitatumika ikiwa UPUMBAVU ukiwa kwa kiwango cha juu kwa mpumbavu.

Ukiwa mpumbavu kupita kiasi usitegemee hekima itatumika kukuokoa. Kwa maana kadiri upumbavu unavyozidi ndivyo msaada kutoka kwenye hekima unavyozidi kupungua.

Acha nipumzike sasa.
Ijumaa Kareem

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kiko wapi? Magufuli kutwa nzima mlimusema anateka watu. Mkashindwa kujua kwamba jambo hili linafanywa na mfumo na si president as an individual. Mama yenu akaingia mkashangilia kwamba sasa utekaji basi na mtekaji kaondoka. Kiko wapi?????
 
Hii ni kufukuzana na wafu tu. Mtashindwa. In fact, ishashindikana.

Matokeo yatokee leo hii, isingiziwe Serikali ambayo haipo madarakani. Hii imekaaje.
 
Kiko wapi? Magufuli kutwa nzima mlimusema anateka watu. Mkashindwa kujua kwamba jambo hili linafanywa na mfumo na si president as an individual. Mama yenu akaingia mkashangilia kwamba sasa utekaji basi na mtekaji kaondoka. Kiko wapi?????

Hata awamu hii ikiteka Watu tutasema kutwa nzima.

Huoni Watu wanasema?

Ulitaka Watu wasiseme?

Au unatafuta namna ya kutetea uhalifu uliokuwa unasemwa kwa awamu iliyopita?

Samia alishangiliwa na Watu(sio wote) kwa 4R zake lakini hiyo haitaimaanisha kuwa akikosea Watu wasiseme.

Ni sawa na wale waliokuwa wanasema Awamu ya tano isisemwe kwa uovu kisa mambo mazuri kama ujenzi wa miundombinu

Mambo hayaendi hivyo
 
Vitendo hivi vinasababishwa na katiba yetu mbovu, hata Wakati wa Kikwete rejea Ulimboka ,Awamu ya 5 ndiyo usiseme na awamu hii hawako nyuma, Tatizo ni moja katiba yetu mbovu.

Hakuna mtekaji yeyote aliyewahi kuwajibishwa,Iwe MO Dewji, Roma Mktoliki ,Tundu Lissu, list ni ndefu.

Itoshe kusema, Falsafa ya 4R ya mama bila kubadili katiba yetu ni sawa na kumpaka make up bibi wa miaka 102 lazima mikunjo itaonekana tu
 
MOJA YA MAMBO YALIYONIFANYA NICHUKIE AWAMU YA TANO NI SUALA LA UTEKAJI. HATA KAMA WAKOSOAJI NI WAPUMBAVU BASI USITUMIKE UPUMBAVU KUKABILIANA NAO.

Anaandika, Robért Heriel
Mtibeli

Suleiman aliwahi kusema,
Mhubiri 7:17
[17]Usiwe mwovu kupita kiasi;
Wala usiwe mpumbavu;
Kwani ufe kabla ya wakati wako?
Be not over much wicked, neither be thou foolish: why shouldest thou die before thy time?

Huu ni ushauri bora wa wakati wote kwa Watu wote.

Lugha za kejeli bila staha.
Lugha za matusi pasipo heshima.
Mashambulizi ya kudhalilisha utu badala ya kuhifadhi akiba ya maneno ya hekima.

Hakuna anayependa kutunwa. Hata mtu dhaifu kabisa au mtoto mdogo hukasirika atukanwapo.
Hata Mbwa ukimkejeli anaweza kukuuma.

Katika ngazi ya Familia,
Mke anapotoa matusi kwa Mumewe huweza kupigwa makofi na hata kuumizwa.
Mume anapotukana na kumdhalilisha mke wakati mwingine tusikia kesi za kumwagiwa maji ya moto au mafuta

Watoto wanapoleta shida na kuonyesha utovu wa nidhamu hupewa adhabu.

Hii yote ni katika namna ya kuwekana sawa na kutafuta HESHIMA.

Suala la reactions mtu anapofanyiwa dhihaka, dharau au kudhalilishwa hutofautiana baina ya mtu na mtu.
Wapo wenye Hasira wasio na uvumilivu.
Wapo wapole kama sisi Watibeli ingawaje uvumilivu nao unamipaka.

Wapo wapumbavu
Na wapo wenye hekima.
Ingawaje sheria zipo lakini hiyo haiondoi reactions za Watu hao katika kukabiliana na wale wanaoonyesha kuwadharau na kuwadhalilisha.

Taikon na Watibeli wengine hawapendi utekaji. Hatupendi mtu atekwe, kuteswa na kuuawa.

Tunajua utekaji ni kinyume cha Haki.
Ingawaje tunajua pia wanaotekwa huenda kuna sehemu hawakutenda haki.

Tunajua pia wapo wanaotekwa Wakiwa na Haki.
Yaani hawajatukana mtu. Hawajadhalilisha mtu. Kosa lao ni Haki na kusema Kweli.

Watekaji hujui wanayemteka anahaki au hana. Watekaji hupenda kutafuta kisingizio cha kuhalalisha utekaji wao. Wakikosa visingizio hujiona na hatia
Lakini wakipata kisingizio hata kimoja hujipa Haki na roho zao huwa nyeupe.

Kuna Watu hufikiria kuwa Wanasiasa huteswa na damu za wale wanaowaua au kuwateka na kuwatesa. Elewa, watekaji hupata hatia Pale wakijua kuwa mtu wanayeenda kumteka hana kosa lolote na hata walipojaribu kutafuta kisingizio walikosa.

Elewa hata shetani hujihisi hatia pale anapomfamnyia mtu ubaya mtu asiye na kosa lolote. Hata alipotafuta kisingizio alikosa.

Unapomtukana mtu na kumdhalilisha mtu elewa unavunja sheria.

Kwa mfano, kiongozi fulani ni Fisadi au Jizi hiyo haikupi haki ya kumdhalilisha hasa ukiwa hauna ushahidi. Wote mnakuwa wahalifu.
Na hiyo itakuwa ni vita vya wahalifu ambavyo kikawaida havinaga kanuni wala Haki haizingatiwi.

Namna ya kupambana na Mafisadi kwa haki,
Mosi, kwenda mahakamani.
Pili, kama njia ya kwanza itashindikana basi njia ya pili ni viongozi wa dini kuzungumza kutumia ushawishi wao kuhakikisha mafisadi wanapewa haki yao.

Tatu, ikiwa viongozi wa dini watakuwa pamoja na mafisadi basi hatua ya mwisho ni wananchi kuungana kuwatoa mafisadi na hao viongozi wa dini kimabavu. Hapa itahitaji kujitoa kikamilifu kwa wananchi.

Serikali ipinge na kuondoa Watu wasio na hekima wenye maamuzi ya kipumbavu ya utekaji hasa kwa kesi ndogondogo za kutukanana na kukosoana.

Utekaji ni muhimu kwa Watu wanaounda magenge ya kigaidi.

Lakini kumteka mtu kisa katukana matusi ya nguoni au kudhalilisha kiongozi au mtu sio uungwana. Hiyo ni kesi ambayo inaweza kupitishwa kwa njia ya kawaida.

Hata hivyo hekima hizo hazitatumika ikiwa UPUMBAVU ukiwa kwa kiwango cha juu kwa mpumbavu.

Ukiwa mpumbavu kupita kiasi usitegemee hekima itatumika kukuokoa. Kwa maana kadiri upumbavu unavyozidi ndivyo msaada kutoka kwenye hekima unavyozidi kupungua.

Acha nipumzike sasa.
Ijumaa Kareem

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Huyo dogo siyo mkosoaji,ni kijana tu aso adabu anayetukana matusi mazito viongozi wenye umri mkubwa kuliko wazazi wake
 
Huyo dogo siyo mkosoaji,ni kijana tu aso adabu anayetukana matusi mazito viongozi wenye umri mkubwa kuliko wazazi wake

Ndio maana nikasema unapofanya jambo la kipumbavu sio muda wote unaowafanyia wana hekima.
Wengine ni wapumbavu kama ulivyo/alivyo

Sasa hapo mwenye Mpini ndio ataumiza
 
Ndio maana nikasema unapofanya jambo la kipumbavu sio muda wote unaowafanyia wana hekima.
Wengine ni wapumbavu kama ulivyo/alivyo

Sasa hapo mwenye Mpini ndio ataumiza
Na hiyo ndiyo njia nzuri,baada ya hapo tunakaa sofani,tunaangalia nani ana jeuri ya kuporomosha matusi
 
Back
Top Bottom