Moja ya Masharti waliyopewa ni Kutojumuika tena Maria Space kuponda

Moja ya Masharti waliyopewa ni Kutojumuika tena Maria Space kuponda

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
1. Lema
2. Mbowe
3. Lissu huyu bado ana ukaidi anasema yeye hawataweza mzuia so atashiriki tu.

Ila Lema na Mbowe wao wameelewa somo kuwa sasa ni mwendo wa praise and worship tu kama ilivyokuwa kwa Sukuma Gang sasa ni M. Gang.

Kwenye majukwaa wanatakiwa wawe wanazungumzia tu awamu ya 5 basi. But kupanda kwa maisha,mafuta,chakula waachane navyo. Mimi habari za Magufuli ziwe nzuri au mbaya zimenichosha.
 
1. Lema
2. Mbowe
3. Lissu huyu bado ana ukaidi anasema yeye hawataweza mzuia so atashiriki tu.

Ila Lema na Mbowe wao wameelewa somo kuwa sasa ni mwendo wa praise and worship tu kama ilivyokuwa kwa Sukuma Gang sasa ni M. Gang.

Kwenye majukwaa wanatakiwa wawe wanazungumzia tu awamu ya 5 basi. But kupanda kwa maisha,mafuta,chakula waachane navyo. Mimi habari za Magufuli ziwe nzuri au mbaya zimenichosha.
Wajinga mnazidi kuongezeka kwa kasi kubwa
 
1. Lema
2. Mbowe
3. Lissu huyu bado ana ukaidi anasema yeye hawataweza mzuia so atashiriki tu.

Ila Lema na Mbowe wao wameelewa somo kuwa sasa ni mwendo wa praise and worship tu kama ilivyokuwa kwa Sukuma Gang sasa ni M. Gang.

Kwenye majukwaa wanatakiwa wawe wanazungumzia tu awamu ya 5 basi. But kupanda kwa maisha,mafuta,chakula waachane navyo. Mimi habari za Magufuli ziwe nzuri au mbaya zimenichosha.

Ndiyo maana sijamsikia Mbowe akizungumza kwa msisitizo wowote kuhusu kupanda kwa bei za bidhaa, kuongezeka kwa kasi kwa deni la Taifa, Yeye yuko busy na Magufuli tu
 
1. Lema
2. Mbowe
3. Lissu huyu bado ana ukaidi anasema yeye hawataweza mzuia so atashiriki tu.

Ila Lema na Mbowe wao wameelewa somo kuwa sasa ni mwendo wa praise and worship tu kama ilivyokuwa kwa Sukuma Gang sasa ni M. Gang.

Kwenye majukwaa wanatakiwa wawe wanazungumzia tu awamu ya 5 basi. But kupanda kwa maisha,mafuta,chakula waachane navyo. Mimi habari za Magufuli ziwe nzuri au mbaya zimenichosha.
Kwani wewe nani amekunyima kuanzisha chama chako na kupiga kelele pale ambapo unaona akila lema na mbowe wamepwaya?
 
1. Lema
2. Mbowe
3. Lissu huyu bado ana ukaidi anasema yeye hawataweza mzuia so atashiriki tu.

Ila Lema na Mbowe wao wameelewa somo kuwa sasa ni mwendo wa praise and worship tu kama ilivyokuwa kwa Sukuma Gang sasa ni M. Gang.

Kwenye majukwaa wanatakiwa wawe wanazungumzia tu awamu ya 5 basi. But kupanda kwa maisha,mafuta,chakula waachane navyo. Mimi habari za Magufuli ziwe nzuri au mbaya zimenichosha.
Nitajie faida 3 tu za uongo tangu uanze hiyo tabia mbaya
 
Back
Top Bottom