Moja ya Siri kuu sana ya WW I na WW II

Moja ya Siri kuu sana ya WW I na WW II

z12f

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2017
Posts
704
Reaction score
572
Moja wapo ya siri kuu sana ya vita vikuu vya kwanza na vya pili vya dunia, ili kuwa ni kutengeneza njia ya kuunda taifa la Israel la siku hizi.

Kabla ya WW I Ottoman empire ilikuwa ina dhibiti waarabu pamoja na mji wa Jerusalem.

Baada ya WW I waingereza wali udhibiti mji wa Jerusalem na nchi ya Israel, ambayo ilikuwa inaitwa Palestine. Palestine ni neno la kigiriki liki maanisha Philistine.

WW II ilikuwa mataifa ya kizungu ya kikatoliki yana jaribu kuuchukua mji wa Jerusalem kutoka kwa waingereza.

Huku mataifa ya kiprotestanti yaki pigana ku endelea kuudhibiti mji wa Jerusalem.

Mataifa ya kiprotestanti yalikuwa UK, USA, Canada, Australia (Anglo saxons), wakiongozwa na viongozi wao ambao wengi wao walikuwa freemasons.

Mataifa ya kikatoliki yalikuwa Ujerumani, Austria, Italy, Spain, Croatia. Yaki shirikiana na majesuits.

Of course kulikuwa na mambo ya kitaifa/kisiasa ambayo yali water down haya mambo ya kidhehebu during WW II.

Ingawa Ujerumani ina waprotestanti wengi; iki unganishwa na Austria (kama alivyofanya Hitler), idadi ya wakatoliki ina karibiana na ya waprotestanti (ingawa haiwazidi). Na Hitler ali wa neutralise kisiasa waprotestanti wa ujerumani, kwa kuwa shawishi wapende extreme nationalism. So Ujerumani ya Hitler ilikuwa inatekeleza sera za Hitler.

Ufaransa ina over whelming majority ya wakatoliki na wengi wao wakiwa secular. Waprotestanti wa ufaransa walikufa au kuikimbia nchi yao enzi za zamani sana za St Bartholomew massacre. Na mapinduzi ya Ufaransa yaliwafanya wakatoliki wengi wa Ufaransa kuwa secular.

Kwenye WW II freemasons wa ufaransa walikuwa upande wa USA na UK. Huku majesuits wa ufaransa wakiwa pamoja na Hitler.

Baada ya vita hivi taifa la kisasa la Israel liliundwa 1948. Taifa hili ni tofauti na lile la enzi za biblia.
 
Write your reply...Taifa la Israel ilikuwa tu lazima liwepo na liibuke baada ya kupotea kwa muda mrefu. Ndo nature yao hawa watu
 
Moja wapo ya siri kuu sana ya vita vikuu vya kwanza na vya pili vya dunia, ili kuwa ni kutengeneza njia ya kuunda taifa la Israel la siku hizi.

Kabla ya WW I Ottoman empire ilikuwa ina dhibiti waarabu pamoja na mji wa Jerusalem.

Baada ya WW I waingereza wali udhibiti mji wa Jerusalem na nchi ya Israel, ambayo ilikuwa inaitwa Palestine. Palestine ni neno la kigiriki liki maanisha Philistine.

WW II ilikuwa mataifa ya kizungu ya kikatoliki yana jaribu kuuchukua mji wa Jerusalem kutoka kwa waingereza.

Huku mataifa ya kiprotestanti yaki pigana ku endelea kuudhibiti mji wa Jerusalem.

Mataifa ya kiprotestanti yalikuwa UK, USA, Canada, Australia (Anglo saxons), wakiongozwa na viongozi wao ambao wengi wao walikuwa freemasons.

Mataifa ya kikatoliki yalikuwa Ujerumani, Austria, Italy, Spain, Croatia. Yaki shirikiana na majesuits.

Of course kulikuwa na mambo ya kitaifa/kisiasa ambayo yali water down haya mambo ya kidhehebu during WW II.

Ingawa Ujerumani ina waprotestanti wengi; iki unganishwa na Austria (kama alivyofanya Hitler), idadi ya wakatoliki ina karibiana na ya waprotestanti (ingawa haiwazidi). Na Hitler ali wa neutralise kisiasa waprotestanti wa ujerumani, kwa kuwa shawishi wapende extreme nationalism. So Ujerumani ya Hitler ilikuwa inatekeleza sera za Hitler.

Ufaransa ina over whelming majority ya wakatoliki na wengi wao wakiwa secular. Waprotestanti wa ufaransa walikufa au kuikimbia nchi yao enzi za zamani sana za St Bartholomew massacre. Na mapinduzi ya Ufaransa yaliwafanya wakatoliki wengi wa Ufaransa kuwa secular.

Kwenye WW II freemasons wa ufaransa walikuwa upande wa USA na UK. Huku majesuits wa ufaransa wakiwa pamoja na Hitler.

Baada ya vita hivi taifa la kisasa la Israel liliundwa 1948. Taifa hili ni tofauti na lile la enzi za biblia.
1.Hiyo ilikuwa major cause au minor cause?
2. Kwa nini Hilter aliwachukia na kuwaua Wayahudi kwa kuwachoma na moto, Kama siri ya WWII ilikuwa ni kuanzisha taifa la Israel? Nakukumbusha tu Rejea Movie ya "Escape From Sobibor" ya mwaka 1987 inayoelezea jinsi Hilter alivyowanyanyasa, kuwatesa na kuwaua Wayahudi .
 
1.Hiyo ilikuwa major cause au minor cause?
2. Kwa nini Hilter aliwachukia na kuwaua Wayahudi kwa kuwachoma na moto, Kama siri ya WWII ilikuwa ni kuanzisha taifa la Israel? Nakukumbusha tu Rejea Movie ya "Escape From Sobibor" ya mwaka 1987 inayoelezea jinsi Hilter alivyowanyanyasa, kuwatesa na kuwaua Wayahudi .
Usichukue maisha ya muvi za maigizo na uhalisia ukavichanganya pamoja. Fanya yafiti. Historia ni tafiti. Hata iddi amin hakula nyama ya mtu wala kuwatupa walemavu mto kagera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usichukue maisha ya muvi za maigizo na uhalisia ukavichanganya pamoja. Fanya yafiti. Historia ni tafiti. Hata iddi amin hakula nyama ya mtu wala kuwatupa walemavu mto kagera

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOT
Usichukue maisha ya muvi za maigizo na uhalisia ukavichanganya pamoja. Fanya yafiti. Historia ni tafiti. Hata iddi amin hakula nyama ya mtu wala kuwatupa walemavu mto kagera

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda wewe mwenzangu unatafiti za WWII. Hebu funguka basi hata moja?
 
1.Hiyo ilikuwa major cause au minor cause?
2. Kwa nini Hilter aliwachukia na kuwaua Wayahudi kwa kuwachoma na moto, Kama siri ya WWII ilikuwa ni kuanzisha taifa la Israel? Nakukumbusha tu Rejea Movie ya "Escape From Sobibor" ya mwaka 1987 inayoelezea jinsi Hilter alivyowanyanyasa, kuwatesa na kuwaua Wayahudi .
Ili ipatikane huruma ya dunia nzima juu ya wayahudi,na ili upatikane sababu ya wao kurudishwa katika nchi ya ahadi ilikuwa haina budi baadhi watolewe kafara kwa manufaa mapana ya wenzao.Hyo sio logic yangu bali logic ya mazayuni.
Ni sawa na kumchukua kichaa umkabidhi panga alafu umfungie kwenye chumba na watu timamu wasioweza kujitetea,hyo ndio stori ya hitler

Ukitaka kuielewa kwa uzuri vita na kujua nani ananufaika kwayo basi huna budi kutazama wale wanaoifadhili vita hyo.sasa fanya research kujua kina nani walikuwa wadhamini wa pande zote katika vita ya pili ya dunia,utakuja kugundua kuwa wafadhili wa the allies ndo hao hao waliowafadhili manazi na washirika wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usichukue maisha ya muvi za maigizo na uhalisia ukavichanganya pamoja. Fanya yafiti. Historia ni tafiti. Hata iddi amin hakula nyama ya mtu wala kuwatupa walemavu mto kagera

Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu usikariri, Movie ni maigizo ya tukio halisi. Lakini inajaribu kuelezea jambo au tukio halisi kwa njia rahisi zaidi ambayo hadhira ataelewa kwa haraka. Nakutajia Baadhi ya True Story Movies 1.Only The Brave 2.The Revenant 3.The Young Messiah 4.Eddie The Eagle 5. 13 Hours Secret Soldier of Benghazi 6. Megan Leavey 7. Lone Survivor, hizo ni baadhi tu kati ya nyingi mkuu.
 
Alafu usikariri, Movie ni maagizo ya tukio halisi. Lakini inajaribu kuelezea jambo au tukio halisi kwa njia rahisi zaidi ambayo hadhira ataelewa kwa haraka. Nakutajia Baadhi ya True Story Movies 1.Only The Brave 2.The Revenant 3.The Young Messiah 4.Eddie The Eagle 5. 13 Hours Secret Soldier of Benghazi 6. Megan Leavey 7. Lone Survivor, hizo ni baadhi tu kati ya nyingi mkuu.
Pole. Hujui tu kuwa mwandish wa stor ndo mtunz wa muvi. Atakupa stor then muvi bila shaka vitaendan na hapo ndo weng kama ww MNATESEKA. this is politics ya ulimwengu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiwe mvivu nenda kasome kwanza. Kaanzie kwenye malengo au madhumuni ya Berlin 84/85 then ndo uje kwenye izo vita zako

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo wako, sababu ya kuitishwa kwa Berlin Conference na Chancellor Von Bismarck ilikuwa ni ugawaji wa makoloni na mipaka yake katika bara la Afrika hili kuzuia vita kati wakoloni wa Bara la Afrika.#Scramble and Partition For Africa. Hata historia ya Bara la Afrika hauijui unakimbilia historia za watu. Ni sawa na kuchanganya maji na mafuta, kumbe ni vitu viwili tofauti.
 
Mkutano wa Berlin - JamiiForums
Elimu ndogo alafu unabishana bila facts
Ntamufahamisha Jamba ambalo wengi kama ww wanateseka. Kwanz faham kuwa mm n historian, na historia inabebw na tafit lakin ukibak ww ktk articles na tafit za wenzako utabak kama ulivo. Wew unajua tu scrmbl na berln kuwa ni msuguano wa mataifa makuu dhid ya afrk then mgawanyo. BIG NO kasome tena berln na usisome kama mtt wa shule anaejaandaa na mtihan hapo ndo weng mnafel. Faham kuwa historia ni sócia science na inadeal na social opinins na social opinions are bias. Mfano akikuta rais ikulu na rais mwnzak then badae wanatka nje na kuita waandsh watakachosema ni tofaut na salichjadil ndani. Soma kwanz iyo berln mana matukio yote hayatokei kw baht mbaya na yapo ktk sequence

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ntamufahamisha Jamba ambalo wengi kama ww wanateseka. Kwanz faham kuwa mm n historian, na historia inabebw na tafit lakin ukibak ww ktk articles na tafit za wenzako utabak kama ulivo. Wew unajua tu scrmbl na berln kuwa ni msuguano wa mataifa makuu dhid ya afrk then mgawanyo. BIG NO kasome tena berln na usisome kama mtt wa shule anaejaandaa na mtihan hapo ndo weng mnafel. Faham kuwa historia ni sócia science na inadeal na social opinins na social opinions are bias. Mfano akikuta rais ikulu na rais mwnzak then badae wanatka nje na kuita waandsh watakachosema ni tofaut na salichjadil ndani. Soma kwanz iyo berln mana matukio yote hayatokei kw baht mbaya na yapo ktk sequence

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ndio shida yenu watu wa Historia mnafikiri, mnajua sana Historia ya kila kitu na kulitafsiri jambo kwa mawazo yenu na upeo wenu. Weka kitabu kinachoelezea siri ya WWI na WWII ni kuunda taifa la Israel. Ishu ya Palestine na Hebrew haijaanza juzi mkuu. Japo Taifa la Israel lilijitangazia uhuru wake mwaka 1948 baada ya vita kuu ya pili ya Dunia.

  • Remember the days of old, consider the years of many generations... (Deuteronomy 32:7)



    The birthplace of the Jewish people is the Land of Israel (Eretz Yisrael). There, a significant part of the nation's long history was enacted, of which the first thousand years are recorded in the Bible; there, its cultural, religious, and national identity was formed; and there, its physical presence has been maintained through the centuries, even after the majority was forced into exile. During the many years of dispersion, the Jewish people never severed nor forgot its bond with the Land. With the establishment of the State of Israel in 1948, Jewish independence, lost 2,000 years earlier, was renewed.

    Archeology in Israel
    involves the systematic investigation of all the remains of the country's past - from prehistory to the end of Ottoman rule. The profusion of material remains is evidence of the many cultures that have left their imprint on the Land.

    Above all archeological research clearly reveals the historical link between the Jewish people, the Bible and the Land of Israel, uncovering the remains of the cultural heritage of the Jewish people in its homeland. These visible remains, buried in the soil, constitute the physical link between the past, the present and the future of the Jewish people in its country.

    This unbroken chain of history can be observed at sites all over the country. Jerusalem, the capital of Israel, has been the focus of extensive archeological activity and remains of 5,000 years of history have been revealed.



    TIMELINE OF HISTORICAL HIGHLIGHTS

    17th-6th C. BCEBIBLICAL TIMES
    (BCE - Before the Common Era)
    c.17th century
    highlights1a.jpg




    Drawings by
    Noam Nadav

    Abraham, Isaac, Jacob - patriarchs of the Jewish people and bearers of a belief in one God - settle in the Land of Israel.
    Famine forces Israelites to migrate to Egypt.
    c.13th centuryExodus from Egypt: Moses leads Israelites from Egypt, followed by 40 years of wandering in the desert.
    Torah, including the Ten Commandments, received at Mount Sinai.
    13th-12th
    centuriesIsraelites settle in the Land of Israel
    c.1020Jewish monarchy established; Saul, first king.
    c.1000Jerusalem made capital of David's kingdom.
    c.960First Temple, the national and spiritual center of the Jewish people, built in Jerusalem by King Solomon.
    c. 930Divided kingdom: Judah and Israel
    722-720Israel crushed by Assyrians; 10 tribes exiled (Ten Lost Tribes).
    586
    Judah conquered by Babylonia; Jerusalem and First Temple destroyed; most Jews exiled.

    THE SECOND TEMPLE PERIOD

    538-142Persian and Hellenistic periods
    538-515Many Jews return from Babylonia; Temple rebuilt.
    332Land conquered by Alexander the Great; Hellenistic rule.
    166-160
    highlights2a.jpg

    Maccabean (Hasmonean) revolt against restrictions on practice of Judaism and desecration of the Temple
    142-129Jewish autonomy under Hasmoneans.
    129-63Jewish independence under Hasmonean monarchy.
    63Jerusalem captured by Roman general, Pompey.

    63 BCE-313
    CE
    Roman rule
    63-4 BCE
    highlights3a.jpg

    Herod, Roman vassal king, rules the Land of Israel;
    Temple in Jerusalem refurbished

    (CE - The Common Era)

    c. 20-33Ministry of Jesus of Nazareth
    66Jewish revolt against the Romans
    70Destruction of Jerusalem and Second Temple.
    73Last stand of Jews at Masada.
    132-135Bar Kokhba uprising against Rome.
    c. 210Codification of Jewish oral law (Mishna) completed.

    FOREIGN DOMINATION
    313-636Byzantine rule
    c. 390Commentary on the Mishna (Jerusalem Talmud) completed.
    614Persian invasion

    636-1099Arab rule
    691 On site of First and Second Temples in Jerusalem, Dome of the Rock built by Caliph Abd el-Malik.

    1099-1291Crusader domination
    (Latin Kingdom of Jerusalem)​

    1291-1516Mamluk rule

    1517-1917Ottoman rule
    1564Code of Jewish law (Shulhan Arukh) published.
    1860First neighborhood built outside walls of Jerusalem's Old City.
    1882-1903First Aliya (large-scale immigration), mainly from Russia.
    1897
    highlights4a.jpg

    First Zionist Congress convened by Theodor Herzl in Basel, Switzerland; Zionist Organization founded.
    1904-14​
    Second Aliya, mainly from Russia and Poland.
    1909First kibbutz, Degania, and first modern all-Jewish city, Tel Aviv, founded.
    1917400 years of Ottoman rule ended by British conquest;
    British Foreign Minister Balfour pledges support for establishment of a "Jewish national home in Palestine"

    1918-48
    British rule
    1919-23Third Aliya, mainly from Russia
    1920Histadrut (General Federation of Labor) and Haganah (Jewish defense organization) founded.
    Vaad Leumi (National Council) set up by Jewish community (Yishuv) to conduct its affairs.
    1921First moshav (cooperative village), Nahalal, founded.
    1922Britain granted Mandate for Palestine (Land of Israel) by League of Nations; Transjordan set up on three-fourths of the area, leaving one fourth for the Jewish national home.
    Jewish Agency representing Jewish community vis-a-vis Mandate authorities set up.
    1924
    highlights5a.jpg
    Technion, first institute of technology, founded in Haifa.
    1924-32Fourth Aliya, mainly from Poland.
    1925Hebrew University of Jerusalem opened on Mount Scopus.
    1929Hebron Jews massacred by Arab terrorists.
    1931Etzel, Jewish underground organization, founded.
    1933-39Fifth Aliya, mainly from Germany.
    1936-39Anti-Jewish riots instigated by Arab terrorists.
    1939Jewish immigration severely limited by British White Paper.
    1939-45World War II; Holocaust in Europe.
    1941Lehi underground movement formed; Palmach, strike force of Haganah, set up.
    1944Jewish Brigade formed as part of British forces.
    1947UN proposes the establishment of Arab and Jewish states in the Land.

    STATE OF ISRAEL
    1948
    highlights6a.jpg

    End of British Mandate (14 May)
    State of Israel proclaimed (14 May).
    Israel invaded by five Arab states (15 May).
    Israel Defense Forces (IDF) established.
    War of Independence (May 1948-July 1949).
    1949
    Armistice agreements signed with Egypt, Jordan, Syria, Lebanon.
    Jerusalem divided under Israeli and Jordanian rule.
    First Knesset (parliament) elected.
    Israel admitted to United Nations as 59th member.
    1948-52
    highlights7a.jpg

    Mass immigration from Europe and Arab countries.
    1956Sinai Campaign
    1962Adolf Eichmann tried and executed in Israel for his part in the Holocaust.
    1964
    highlights12a.jpg

    National Water Carrier completed, bringing water from Lake Kinneret in the north to the semi-arid south.
    1967
    highlights8a.jpg

    Six-Day War; Jerusalem reunited.
    1968-70Egypt's War of Attrition against Israel
    1973Yom Kippur War
    1975Israel becomes an associate member of the European Common Market.
    1977Likud forms government after Knesset elections, end of 30 years of Labor rule.
    Visit of Egyptian President Anwar Sadat to Jerusalem.
    1978Camp David Accords include framework for comprehensive peace in the Middle East and proposal for Palestinian self-government.
    1979Israel-Egypt Peace Treaty signed.
    Prime Minister Menachem Begin and President Anwar Sadat awarded Nobel Peace Prize.
    1981Israel Air Force destroys Iraqi nuclear reactor just before it is to become operative.
    1982Israel's three-stage withdrawal from Sinai Peninsula completed.
    Operation Peace for Galilee removes Palestine Liberation Organization (PLO) terrorists from Lebanon.
    1984National unity government (Likud and Labor) formed after elections.
    Operation Moses, immigration of Jews from Ethiopia.
    1985Free Trade Agreement signed with United States.
    1987Widespread violence (Intifada) starts in Israeli-administered areas.
    1988Likud government wins elections.
    1989
    highlights9a.jpg
    Four-point peace initiative proposed by Israel.
    Start of mass immigration of Jews from former Soviet Union.
    1991Israel attacked by Iraqi Scud missiles during Gulf war.
    Middle East peace conference convened in Madrid;
    Operation Solomon, airlift of Jews from Ethiopia
    .
    1992Diplomatic relations established with China and India.
    New government headed by Yitzhak Rabin of Labor Party.
    1993Declaration of Principles on Interim Self-Government Arrangements for the Palestinians signed by Israel and PLO, as representative of the Palestinian people (Oslo Accords).
    1994



    highlights10a.jpg
    Implementation of Palestinian self-government in Gaza Strip and Jericho area.
    Full diplomatic relations with the Holy See.
    Morocco and Tunisia interest offices
    set up.
    Israel-Jordan Peace Treaty signed.
    Rabin, Peres, Arafat awarded Nobel Peace Prize.
    1995Broadened Palestinian self-government implemented in West Bank and Gaza Strip; Palestinian Council elected.
    Prime Minister Rabin assassinated at peace rally.
    Shimon Peres becomes prime minister.
    1996Fundamentalist Arab terrorism against Israel escalates.
    Operation Grapes of Wrath, retaliation for Hizbullah terrorists' attacks on northern Israel.
    Trade representation offices set up in Oman and Qatar.
    Likud forms government after Knesset elections.
    Binyamin Netanyahu elected prime minister.
    Omani trade representation office opened in Tel Aviv.
    1997Hebron Protocol signed by Israel and the PA.
    1998
    highlights11a.jpg
    Israel celebrates its 50th anniversary.
    Israel and the PLO sign the Wye River Memorandum to facilitate implementation of the Interim Agreement.
    1999Ehud Barak (left-wing One Israel party) elected prime minister; forms coalition government.
    Israel and the PLO sign the Sharm-el-Sheikh Memorandum.
    2000Visit of Pope Paul II.
    Israel withdraws from the Security Zone in southern Lebanon.
    Israel admitted to UN Western European and Others Group.
    Renewed violence (Second Intifada). Prime Minister Barak resigns.
    2001Ariel Sharon (Likud) elected Prime Minister; forms broad-based unity government.
    The Sharm-el-Sheikh Fact-Finding Committee report (Mitchell Report) issued.
    Palestinian-Israeli Security Implementation Work Plan (Tenet ceasefire plan) proposed.
    Rechavam Ze'evy, Minister of Tourism, assassinated by Palestinian terrorists.
    2002
    Israel launches Operation Defensive Shield in response to massive Palestinian terrorist attacks.
    Israel begins building the anti-terrorist fence to stop West Bank terrorists from killing Israeli citizens.
    Prime Minister Sharon disperses the Knesset, calling for new elections to be held on 28 January 2003.
    2003
    Right-of-center coalition government formed by Prime Minister Ariel Sharon.
    Israel accepts the Roadmap.
    2005
    Israel carries out the Disengagement Plan, ending Israel's presence in the Gaza Strip.
    2006
    After Prime Minister Sharon suffers a stroke, Ehud Olmert becomes acting prime minister.
    Following elections on 28 March, Prime Minister Ehud Olmert forms new government led by the Kadima Party.
    Israel carried out military operations against Palestinian terrorists in Gaza after kidnapping of Israeli soldier.
    The Second War in Lebanon, during which Israel carried out military operations against Hizbullah terrorism from southern Lebanon, following missile attacks and kidnapping of two Israeli soldiers.
    2007
    Shimon Peres elected President by the Knesset.
    Israel declares Gaza "hostile territory" following Hamas violent takeover of Gaza Strip.
    2008
    Israel celebrates its 60th anniversary.
    Israel launches its Gaza Operation (Operation Cast Lead) in response to the barrage of over 10,000 rockets and mortars fired from the Gaza Strip.
    2009
    Benjamin Netanyahu is elected Prime Minister in national elections held in February 2009, and forms a broad-based coalition government
    The city of Tel Aviv celebrates its 100th anniversary.
    2010
    Israel joins the Organization for Economic Co-operation and Development (OECD).

 
Back
Top Bottom