Mombasa City Gallery

Sikunyingine msije Rudia

The same same same old tired BRT and the 3 towers. Mengine Mombasa ipo juu kwa juu. Hata nikipatiwa niwe mkurugenzi wa Madawa Dareslum, Afadhali niishi Mombasa mie
 
The same same same old tired BRT and the 3 towers. Mengine Mombasa ipo juu kwa juu. Hata nikipatiwa niwe mkurugenzi wa Madawa Dareslum, Afadhali niis
hi Mombasa mie
Ficha ujinga wako
porojo tupo
Sija post hizo 3zako humu
ongea lingine
kulinganisha dar na ujinga mkome kuanzia leo

 
Wapuuzi kweli hawa
mpost mombasa yenu
ila kuitaja dar muache

Usijaribu siku nyingine kuleta nyefnyef hapa..... Dar eslum is a village full of lost hopes..... Please send those souls back to the village so that they don't congest the town anymore and so that they can engage in something more meaningful than sukari business going on in that dingy town. Otherwise you are in trouble
 
huu Uzi umenibamba vile umetrend apa...but dar ndio imehemeshwa na msa ivi mpaka motochini anaeka picha za jengo likiwa halijakamilika then analileta likiwa finished basi mko na kazi kweli
 
MOMBASA FREE TRADE ZONE

KONGOWEA MARKET



SHANZU SULTAN PALACE


SWAHILI GEM
 
Wanaudhi hawa jamaa wanalinganisha dar na mombasa wakome watuachie dar yetu kabisa
Hiyo ndo Dar city viberiti vimejaa vya kisasa kabisa utazani sao paulo brazil kasoro milima na sanamu la yesu mkome kabisa na mombasa yenu labda kidogo nairobi
 
Hahahahaah jidanganye ,,,Tuna mtu anaitwa Diamond platinum,, na Mbwana samata hahahah nyie muna nani
Sasa Diamond nani anamjua. Watu wachache sana ulimwenguni. Diamond ni mwanamuziki anayejulikana na wale wanaipenda genre yake. Si watu wengi nje ya Sub Sahara Africa wanaomjua. Kenya ni mojawapo wa nchi zinazojulikana ulimwenguni. Olimpiki, raga, Volleyball,Obama, kuna vita dhidi ya Al Shabab, Queen of Elizabeth became Queen when she was here, Prince William had a Kenyan girlfriend, Mpesa, Pia Ben Carson kasema yeye ni Mkenya, n.k
Kenya ni nchi kubwa internationally
 

Nyie hamuoni AIBU ya kutupwa mnapolinganisha Dar jiji kuu na
Mombasa jiji la Pili nchini Kenya??? Ati sasa tuanze kuilinganisha Nairobi na Mwanza?????? Jesus just come down and listen to these Danganyikan voices!!! They are desperately going hoarse...
 

Nyingine kama mnataka kuiona Dar ndio hiyo mnaona aibu kuilinganisha na mombasa huu ni mji wa kisasa zaidi na unakuwa haraka zaidi East Africa majengo yanakwenda hewani ile mbaya msije rudia
 
ebu usitaje nairoberry APA...msa tu yawatoa ulimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…