Mombasa City Gallery

Kitu kilichosaidia kukuwa kwa jiji La Msa ,,Moja wapo Ni kuwa na mchanganyiko wa MakabiLa ya watu tofauti ,,,Lakin Tizama Tanga ?? [emoji23][emoji23][emoji23] watu hawataki na mkoa wao ,,wanataka wawe wao Kama wao [emoji26][emoji26] alaf Tulivo hatupendi maendeleo Teeeeeeh hapo chacha [emoji46][emoji46] Kazi kukalia Majungu na kuombea Mabaya thu ,,,hayo ndo ya Jiji La Tanga ........lakin juu ya yote Tanga imebalikiwa kwa kiasi chake ,,kuna Amani ya kutosha pamoja Na hali ya hewa bomba kabisa ,,na watu wake wakaRimu na wacheshiiii
 
Lakini naskia kuna port inajengwa Tanga. Labda hilo litasaidia mji huo kukua
 
Nini Dar kitazidi Mombasa??? Nyerere bridge ama??
Ndugu Yangu Huwezi kuifananisha Mombasa na Dar !! Daresalaam imeendelea Kwa KiLa kitu Tofauti na mombasa ,,,,Then Daresalaam Fananisha kidogo na Nairobi tena hapo pia Haitoingia ,,,,Kwanza Mombasa hakuna mzunguko wa pesa ,,,Pesa Haionekani ,,Hela imekuwa ngumu Msa ,,,iLa Daresalaam Pesa nje nje Mzee ,,,,,,Hunidanganyi lolote juu Ya mombasa Tanga Daresalaaam ,,,,,izo sehem zote nimekaa na Nazijua Vizur maisha Yake
 
Aliekupa List iyo kakuongopea ,,,Eliza wanaojua nchi Ya Tanzania vizur ,,waambie wakutajie mikoa Mikoa mikubwa Tanzania Ni ipi watakuambia
Nyie mnacho kibishania hapo kipi!!
Unaelezea ukubwa wa mikoa au miji mikubwa?
kama ukubwa wa mikoa Dar yamwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…