Mmmhh wajue tu wanasafari ndefu sana, hvyo waandae vizazi vya kutosha kusafiri! Kudai nchi haijawahi kuwa rahisi,
serikali za kiafrika zinachochea haya mambo kwa implementation ya sera za maendeleo kiubaguzi.
Hivyo siwazi walaumu hao watu ila kama tu hizo harakati zao hazina mkono wa nje (kitu ambacho sio rahisi).
let them go ask the north east what happened to them when they demanded to seperate themselves from kenya. kenya will not seperate. we will do what it takes inluding soldiers guns and bombs to supress any attempts by anyone to secede a part of kenya from kenya. the shifta war should serve as a warning/reminder to any secessionist movements.
however, the MRC has legitimate concerns that NEED to be adressed, the kenyan govt cannot dismiss their grievances. it is their constitutional right to assemble and to say whatever the heck they want to say and that right should be respected and protected. i will support their right to assemble and have free speech
Kimsingi mipaka aliweka mkoloni, sasa kuna taabu gani na sisi tukiweka yetu ambayo tunadhani itakua na manufaa kwetu?
Huo ni urithi aliouacha mwarabu ktk pwani yote ya africa mashariki hadi kusini, wakati wakoloni wenzao walikuwa wanajenga makanisa kwa ajili ya kuwafundisha watu kwenda mbele za mungu kwa hofu,shule kwa ajili ya kupata makarani na wasaidizi kwenye utawala wao na mahospitali kwa ajili ya afya za watu wao wa kuwatumikia hao vipofu waliendelea kuwafundisha waswahili kuvaa kanzu ya kutofanya kazi ila biashara zisizo na tija ( zisizolipia ) matokeo yake ndiyo hayo.
Huo ni urithi aliouacha mwarabu ktk pwani yote ya africa mashariki hadi kusini, wakati wakoloni wenzao walikuwa wanajenga makanisa kwa ajili ya kuwafundisha watu kwenda mbele za mungu kwa hofu,shule kwa ajili ya kupata makarani na wasaidizi kwenye utawala wao na mahospitali kwa ajili ya afya za watu wao wa kuwatumikia hao vipofu waliendelea kuwafundisha waswahili kuvaa kanzu ya kutofanya kazi ila biashara zisizo na tija ( zisizolipia ) matokeo yake ndiyo hayo.
Mimi hua najiuliza swali moja. kwanini MRC watake kujivuta kando na kutaka nchi yao? Na nikiangalia kwa undani, sipati jibu kamili. maana kama ni kutaka kujikimu kimaendeleo, sioni wakitoboa. Ombi hilo la kutaka kujivuta msingi wake ni wa kidini na sio ya kujali maslahi ya wadigo au wagiriama ambao shida zao za kawa sote tunazielewa. Hivi miaka tatu iliyopita 2008, rais wa Iran amedinajad alizuru mombasa, huenda ikawa mvuto ambao kundi haramu la MRC unao inachochewa na ziara hiyo.
kama hiyo ndio hoja kua kwa vile rasilimali nyingi ziko kwao ndio wanendelee kuliko wote mbona hapa tanzania wasukuma ni maskini wakat utajiri wa madini uko kwao tena kwenye ardhi wanayoishi na cjackia msukuma akidai wajitenge ili waendelee! ni small minded people tu hawana lolote!
Kikubwa na kizuri zaidi wanadai nchi yao (Pwani ya Kenya including Mombasa) ni sehemu ya Zanzibar....:A S-coffee:
Wanachogombania ni kile kile ambacho binadamu yeyote mpenda haki anakihitaji.Yawezekana maana halisi ikapotoshwa kwa sababu mbali mbali jazba na upeo wa kujenga na kusimamia hoja.Upole wao na ukarimu wao ndio umewaponza wakamezwa.
Nimefuatilia harakati za hawa jamaa kwa muda mrefu, pamoja na mkwara mzito wa serikali ya Kenya kulipiga marufuku kundi hili na kuliita 'kundi haramu',
bado jamaa hawarudi nyuma. Bado wanasisitiza kuwa Pwani ya Kenya si sehemu ya taifa la kenya.
Pamoja na viongozi wao kufikishwa mahakamani kwa makkosa ya uhaini, jamaa hawaja-give up.
Moja ya madai yao ni kukithiri kwa umasikini katika maeneo ya Pwani wakati kuna rasilimali za kutosha.
Sasa hivi harakati zao zimehamia mtandaoni.
Profile Pictures | Facebook