Mombasa: Shehena ya Pembe za ndovu yakamatwa Bandarini

Sijayaelewa mavazi ya huyo mwanajeshi,imetangazwa na chombo kama TV yeyote leo zaidi ya mitandao ya kijamii??
 

kabla ya utawala huu hilo lilikuwa dili tayari na si mara ya kwanza bandari yetu kupitisha nyara za serikali sema huko nyumba ilikuwa sindicate
 
Kwa watalamu wa Hii wizara ya Maliasili na utalii naomba mtolee ufafanuzi wa maswali yangu:

Je ni teknolojia gani inatumika kupambana na ujangili?

Wenzetu wa kenya na Afrika ya kusini wanamifumo inayotumia GPS katika pembe za wanyama kama Faru na Tembo kujua wanyama hao wapo wapi kila saa kama sio dakika.

Rhino Horn Poaching Impeded with GPS Tracking and Innovative Injection

12 Innovative Ways Technology is Saving Endangered Species

BBC NEWS | Africa | Using texts to save Kenya's elephants

GPS and VHF Tracking Collars used for Wildlife Monitoring

Kuna mbinu nyingi mpya zinazohusisha teknolojia ila sijawahi kusikia zikiongelewa sana na wataalamu wetu na ujangili unaonekana bado ni tatizo kubwa.
Kuliko kutumia nguvu nyingi na mbinu za kikijeshi tu labda tujaribu kuongeza nguvu katika matumizi ya teknolojia kidogo tuone kama itasaidia.

Insanity is repeating the same thing over and over again and expecting different results.
 
Hizo sare za huyo askari sio zile za wale KMKM?Kwa hiyo mzigo huu ni bandari ya Dsm au ya Unguja??
Maana kama ni Dsm,mbona hizo sare za huyo askari siyo moja ya sare za majeshi yetu ya Tanganyika??
Hebu mleta maada kuwa makini na hii habari....mkuu chindo hapa ni Dsm kweli??
 
Binafs sion cha kufurahia kukamatwa kwa pembe za ndovu.
Pembe zimekamatwa,sawa
Ila TEMBO WAMEKUFA,je tembo hawa waliokufa wahusika walishindwa kuwadhibiti wauaji wa tembo?meno yakamatwe yasikamatwe tushapoteza TEMBO.
Tupambane na kiini cha tatizo sio MASHARA.Kukamata vipysa ni madhara sio chanzo cha tatizo
 
tukio limetokea kenya hilo...mnalihusishaje na bongo..??..kick kwa lazima mazee....[emoji1] [emoji1]
Una akil sana we jamaa
Unajua hiyo combat ni ya jeshi la Kenya
Nashangaa huyo askar kafikaje bandar ya dar

Huu ni umbea kama umbea mwingine
 
Kuna watu wengine bado hawajakoma tu; lakini vitu kama hivi wakati mwingine inaharibu upelelezi. Waliokamatwa ni kina nani maana huo ujasiri lazima uwe ni ujasiri kweli kweli. Yule mama wa Kichina si bado yuko ndani?
 
sasa kama mbona unaandika ki UVCCM jipange leta habari.


swissme
Bavicha huwezi kuelewa habari za mapambano dhidi ya ufisadi na wizi wa Mali za umma na maliasili...mnalo zigo huko kwenu....
 
Hapa umenena vema.

Kama ni wa somebody muda si mrefu mamlaka ya bandari watakuja kukanusha taarifa "za uzushi" zinazosambaa mitandaoni kuhusiana na kukamatwa shehena ya meno ya tembo.
hapo ni bandari ya Mombasa kenya hii leo
 
Sio nchi hii hiyo sare ya pot ni mcanadian ambayo haitumiki hapa tz
 
Hamna kesi hapo zaidi ya usanii.
Usafirishaji meno ya tembo. Michael Kijangwa ahukumiwa kifungo cha miaka 25 jela.<br /><br />Chanzo: Star tv habari.<br /><br />Hii ndo awamu ya 5

Endelea kuwatia moyo ......ila matokeo ni km hapo juu [emoji115]
 
Watiwe mbaroni mara moja, Kila Zama na kitabu Chake. Kama walizoea huko nyuma, Awamu hii itanyonga watu... Hapa kazi njema tu
 

Hii haifanani na ishu inayotokea Tanzania, yawezekana ni nchi mojawapo Africa yenye bandari. Huyo mjeda anaonekana kabisa kavaa gwanda sio la kibongo
 
Watapewa dhamana mara moja.Lema ndiyo mbaya siyo hao majangili.Huenda kuna hisa bwana flani..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…