Monday Morning Special!!

Yani umeongea fact wifii kuna watu mkigombana nje ya if analeta kisasi hukuu sijui anazan anapata faida gani?

Mm huwa nasema kamwee sitarudi nyumaaa DEMISS mbele kwa mbele kama Ccm najua lazima utakuja hapa kuqoute na kunitukana utateseka sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Demiss kama CCM wii. Forward ever backward never.
Huyo mtu kama ni mwanaume ana hasira na wewe labda ulimkataa au ulimiacha. Kama ni mwanamke anakuonea wivu
 
nafikir hakujua maana hakuona ule uzi wa kipindi kile mana na wenyew ulikuwa fireeee watu wale wale jana bifu ndo likaamshwa upyaa
Wa kipindi kile upi huo? Shida sasa ingine ya watu humu. Ukiandika tu kitu kuhusu mtu fulani unaonekana unataka wagombane watu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Demiss kama CCM wii. Forward ever backward never.
Huyo mtu kama ni mwanaume ana hasira na wewe labda ulimkataa au ulimiacha. Kama ni mwanamke anakuonea wivu
Alinitongoza nikakataa akaniomba tuonane nikakataaa mm wala sikuendelea kumtafuta ila sasa kaamua kufungua id 10 kunikomesha loooh

Angenikomesha kabla sijapata bwana saivi nina mme sina pressure wala nn

Ninachomwambia anafuta vidonda vya tumbo vya nn?
Watu tunaongea na wenye mbwa siyo mbwa.
 
Kumbe jambo dogo hivyo. Mwache mwenzio atoe hasira zake. Kama alikupenda kweli Ukamzingua unadhani ataweza kufuta maumivu haraka? Anavyokutukana ndo anapunguza hasira. Ipo siku ataacha.
 
Naomba ubuyu basiii maana jipya hili. [emoji23][emoji23][emoji23]
nilishasamehe ila mimi muhuni ukinikosea lazima nilipize sema siku hizi nimekua sana .unajua nini nilifungua id ya kiume jf nikajifanya natafuta mchumba weee nina picha za kutosha ***** nawacheki tu .ole wao mtu aingie kwenye tisini
 
nilishasamehe ila mimi muhuni ukinikosea lazima nilipize sema siku hizi nimekua sana .unajua nini nilifungua id ya kiume jf nikajifanya natafuta mchumba weee nina picha za kutosha ***** nawacheki tu .ole wao mtu aingie kwenye tisini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mambo ya Giresiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…