monde arabe comments zako zimepotea siku kadhaa hivi kulikoni upo salama!? Au upo Dodoma? monde arabe kila mada kila jukwaa liwe dini,siasa,mahusiano,michezo atakapopita comments zake ni "Unique" hazibadiliki kirahisi.
Ninachomsifu hawezi kuandika noma sana bila alama ya kushangaa
Noma sana!
Huwa nikiona amechangia nacheka 😂ile avatar yake ule mwanya! Na inaonekana mpaka andike ameguswa kwelikweli.