Mondi anaogopa nini?

ydn

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2015
Posts
2,092
Reaction score
1,410
Nimeusikiliza wimbo wa Mondi na naheshimu maoni yake! Kuna waliopenda na kuna wasioupenda ila ni maoni yake na tuyaheshimu. Linalonishangaza kidogo ni kwa jinsi Mondi alivyomjibu Gwajima kwamba chonde chonde j2 isije ikawa chungu mwaka mzima. Swali kwani Mondi anaogopa nini? Kuna lolote lipo nyuma ya pazia juu ya mafanikio yake ambayo watu wakiyajua yatashusha mafanikio yake?
 
itakuwa paulo makonda aka daudi bashite atakuwa amevamia studio za wcb na kumforce atunge nyimbo
 
Reactions: ydn
Chonde chonde j2 icjekua chungu mwaka mzima anamaanisha atakacho kifany ni kutoa ripoti kw bashite na gangstar wake wakavamie kanisa ili wamteke na kumpeleka kuckojulikana
 
Reactions: ydn
Mambo yote kwa Gwajima jumapili. Daimondo ataanikwa tu na unafiki wake na babu tale.
 
Reactions: ydn
Kuna kitu nyuma ya mafanikio yake
 
Hakuna lolote na hajamuogopa, hakuna la kushangaza. Kaeleza kumuelewesha inatosha.

Kafanya wengi mnayoyafanya katika maisha yenu kama binadamu pia.
 
Karai hajaomba radhi....

Kaya analianzisha....

Mfufuo hana msalie anapochokozwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…