Money Gram inafanyaje kazi?

namba force

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2017
Posts
758
Reaction score
434
Kwa wadau wanaolewa mambo ya mitandao ya huduma za pesa.Naombeni mnijulishe huduma hii ya money gram nchini inapatikana na inafanyaje kazi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama una mpango wa kutuma pesa nenda tu Western Union wako kila wilaya hapa Tanzania na nchi zote. na gharama zao za kutuma pesa ni ndogo mno.
 
Ni kama M-pesa nenda kwa mawakala kwa kawaida Posta na sehemu nyingine zenye huduma au awakala wa Western Union.
 
Inapatikana nchi nzima, na mawakala wake ni bank zote na ofisi za posta.
Samahani mkuu sio kila benk wanatoa hiyo huduma labda kama wameanza hivi karibu, Exim, Nmb, Crdb hawatoi tulihangaika sana na mwenzangu, ila Equity benk ni uhakika atafute mahali inapatikana.
 
Samahani mkuu sio kila benk wanatoa hiyo huduma labda kama wameanza hivi karibu, Exim, Nmb, Crdb hawatoi tulihangaika sana na mwenzangu, ila Equity benk ni uhakika atafute mahali inapatikana.
Ahsante kwa kunijuza mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…