Money is never enoug! Utapata pakubwa utaspend vikubwa, utaona haitoshi maana bado haujafanya makubwa zaidi.

Money is never enoug! Utapata pakubwa utaspend vikubwa, utaona haitoshi maana bado haujafanya makubwa zaidi.

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Dogo kama huyu unaweza kuta miaka 7 nyuma baba yake alikuwa akifanya kazi shift mbili ili akidhi bills ila ona leo dogo anatupia mwilini kwake pesa ambayo robo tatu ya waafrika hawatakaa waishike kwa mkupuo
20241114_134620.jpg
 
Back
Top Bottom