I wish money could be like body weight. Easy to gain but hard to lose.
Aspirin full respect popote ulipo maana unaendesha vichwa viwiliAsprin ananifundisha ninataka kumuonyesha jitihada zake
Shukran sana mkuu....Aspirin full respect popote ulipo maana unaendesha vichwa viwili
Shukran sana mkuu....
Kwikwikwiiii... Kasie wangu mimi mwenyewe...Wivu sina, ila roho inauma....
Body weight kazi kuloose kama ukiwa na flow nzuri ya money ila mirija ya fedha ikikata ndani ya mwezi unapukutika bila gym wala kushindia matunda,automatically unakuwa model ππππI wish money could be like body weight. Easy to gain but hard to lose.
Mkuu yale mawazo ya mlo wa pili nitaupata wapi yanaumiza sana ubongo na kuyeyusha mafuta kabisa.Body weight kazi kuloose kama ukiwa na flow nzuri ya money ila mirija ya fedha ikikata ndani ya mwezi unapukutika bila gym wala kushindia matunda,automatically unakuwa model ππππ
Kwikwikwiiii... Kasie wangu mimi mwenyewe...
Jiandae wikiendi ijayo utakuwa wajibu wangu kukuhudumia,
Vinywaji na vyakula vyote, vya mchan na usiku...
Ofa kabambe toka kwa big braza Sam orijinale...
Jiandae....
πππππππ noma,we angalia maboss wengi wakati wakiwa na kazi wanafanya mazoezi lakini hawapungui,siku akitumbuliwa ndani ya mwezi tu anakua model......Mkuu yake mawazo ya mlo wa pili nitaupata wapi yanaumiza sana ubongo na kuyeyusha mafuta kabisa.
Unfortunately for all of us it's the otherway roundI wish money could be like body weight. Easy to gain but hard to lose.