Tetesi: Mongella kupewa ubunge wa kuteuliwa Kisha kwenda kugombea ubunge Jiji la Arusha

wankuru nyankuru

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2019
Posts
495
Reaction score
775
Kufuatia na yanayoendelea Jijini Arusha , uwezekano upo mkubwa John Mongella kuteuliwa kuwa Mbunge na badae kwenda kugombea Ubunge Katika Jiji la Arusha akichukua nafasi ya Gambo ambaye Kwa kweli ameonekana kupoteza mvuto mbele ya jamii ya watu wa Arusha Jiji.

Lakini utabiri unaonesha kwamba badae Mongella atateuliwa kuwa waziri wa OR-TAMiSemi huku Mhe. Mchengerwa akipewa wizara ya ulinzi ambayo ni nyeti zaidi kutokana na ukaribu na umuhimu wake Kwa serikali ya awamu ya Mhe. Samia.

Period.
 
Wakwe na masheji cabinet!😢
 
Hivi ccm haina watu wengine ? kwa mfano wewe mwenyewe hutaki kuwa Mbunge ?
 


Tatizo mnaleta watu wa Arusha ambao hawajui hata utamaduni. Hawa wasukuma hawajawahi kukaa Arusha sehemu yenye utamaduni wa biashara hawawezi kuendana na watu hawa machawa
 
Katiba Mpya iliyobora itaondoa haya MAWAA..mtu mmoja ananguvu kama Malkia/Mfalme..HAPANA
 
Tatizo mnaleta watu wa Arusha ambao hawajui hata utamaduni. Hawa wasukuma hawajawahi kukaa Arusha sehemu yenye utamaduni wa biashara hawawezi kuendana na watu hawa machawa
Kwa hiyo mnataka arusha wagombee wachagga? Wao pia siyo kwao hapo. Wasukuma na wajita wamejaa tele, Wadigo ndo usiseme. Kila mtu ana haki kugombea muhimu awe anaishi hapo.
Mimi bado nataka kuwe na wagombea binafsi kwani inaleta ushindani zaidi, na ni kwa mujibu wa katiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…