LGE2024 Mongella: Wanachama wote wa CCM shirikin kikamilifu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuchagua viongozi bora

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Hamduni

Senior Member
Joined
Apr 25, 2020
Posts
172
Reaction score
118
Naibu katibu Mkuu wa chama cha mapinduzi Tanzania Bara ndg. John Mongella amewataka wanachama wote wa CCM washiriki kikamilifu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kuchagua viongozi bora watakao kuwa watatuzi sahihi wa shida zao na sio kujinufanisha binafsi, sambamba na hilo alipata wasaa wa kuwasihi umuhim wa kuwachangua wagombea watokanao na chama cha mapinduzi.

Soma Pia:
#KaziIendelee
Your browser is not able to display this video.

 
Mmh! Huyu John Mongella ndiye naibu katibu mkuu wa ccm? Mbona hajulikani na hasikiki kabisa?

Ama kweli ccm ishakufa!
 
Wajichague wenyewe baada ya kuengua watanzania wenzao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…