Monica Arnold huyu dada hazeeki kabisa!!!

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Nikicheki video yake ya mwaka 1995(Don't take it personal-Just one of dem days) wakati ana miaka 15 na Hii ya sasa hivi aliyoitoa Sept 27 2011(Until its gone,akiwa na miaka 32) naona yupo vile vile,anamaintain sana mwili wake.Nini siri kwa wanaojua nataka nimuelekeze demu wangu abaki naye hivi hivi.

Nawasilisha.

Mwaka 1998:



Mwaka 2002:


Mwaka 2011:



Mwaka 2012:




 
Monica kazaliwa 1980!

Bado ana safari ndefu sana kuelekea uzeeni. Tena na vile yuko majuu akila bata na mbatata, ndiyo kabisa atazidi kunawiri kama shina la mgomba!

Angekuwa ni mla vumbi kama kina Ray C basi tungekuwa tunaongea mengine sasa hivi.
 

Yes amezaliwa 1980,lakini ukicheck mwili wake alivykua ana miaka 15 na sasa ana miaka 32 yani tofauti ni ndogo sana! Mtoto bado mbichi even thou ana watoto wawili.
 
 
Yes amezaliwa 1980,lakini ukicheck mwili wake alivykua ana miaka 15 na sasa ana miaka 32 yani tofauti ni ndogo sana! Mtoto bado mbichi even thou ana watoto wawili.

Genetics, genetics, genetics. Couple that with a good life you get a forever young looking lady.
 
For god sake you are comparing when she was teenager and now and adult with just 15years old age difference! Wait another 15 years for proper comparison with her current age.


Another thing is just matter of taking care of oneself, hata wewe utakuwa bomba in another 20 years time.
 
Lengo lako nadhani ni kusema hajabadilika sana na sio kwamba hazeeki coz miaka 32 bado sio umri wa kuitwa mzee jamani...

Ni kweli uyasemayo,pia si umeona kuna wengine watoto lkn ukiwacheck washazeeka we mcheck Rueben sorry 2004 na huku bongo mtoto mdogo wa miaka 25 ukimcheck kama mzee!!!
 
Weka picha arifu......tulinganishe......bila picha sikubaliani na wewe....

mifano kama hii
Ray c kushoto enzi zake...

hapo alikuwa kabichi bichi kanatangaza Dr beat klauzi.....kati kati ni lady jay dee na kulia ni masudi kipanya...


miaka ikaenda kabinti ray c kakawa kazuri kweli kweli hapo alikuwa hajaanza kunywa safari beer na kuvuta bangi kwa wingi....


ray c kulia....hapo ni pombe miksa bangi..
 

Kuna wa2 wanachelewa kuzeeka hapo unakuta ndo yuko kwenye adolesenc
 
Siku za Miaka yetu ni Miaka 70.............
 
Happy Birthday Toni Braxton.....Umetimiza Miaka 51.....Mtoto Bado Mbichi...Kibongo bongo mama wa 51 ni Mzee Shavu Linachuma Kunde.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…