Monopoly maana yake ni muuzaji mmoja (single seller)

Monopoly maana yake ni muuzaji mmoja (single seller)

LOVINTAH GYM

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
459
Reaction score
653
MONOPOLY


Neno monopoly maana yake ni muuzaji mmoja (single seller).

Huu ni muundo wa soko ambao muuzaji wa bidhaa ni mmoja tu.

Vitu vinavyoweza kusababisha kuwepo kwa monopoly ni kama vifuatavyo:

1. Mazingira.

Mfano: Dunia nzima madini ya Tanzanite yanapatikana Tanzania pekee, kwahio Tanzania ni monopoly wa haya madini.

2. Serikali

Mfano: Tanzania hairuhusiwi makampuni mengine yoyote kusambaza umeme wa majumbani, hii sababu inafanya TANESCO kuwa monopoly.

3. Teknolojia

Mfano:

Microsoft and window (application za kwenye simu na computer)

Pia apple

Tabia za soko la monopoly ni kama zifuatazo:

1. Muuzaji ni mmoja

2. Hamna ushindani

3. Vikwazo vya kuingia kwenye hili soko ni vikubwa

4. Upekee wa bidhaa, Hakuna bidhaa inayoendana na bidhaa inayouzwa na monopoly

5. Bei inapangwa na muuzaji

6. Faida kubwa sana hupatikana kweye hili soko kwa muuzaji

Karibuni kutoa mifano ya monopoly duniani.

#monopoly #uchumi #economics #swahiliY

aaw.png

 
Magu alivoingia ndo aliirekebisha hii, ila kabla ya hapo wakenya ndo walikua wanaongoza kulangua Tanzanite tz kuipeleka nje ya Africa.
Yani wa Kenya wanajua kuchangamkia fursa, kuna kipindi walitangaza Mlima Kilimanjaro ni wa kwao, Waigizaji wa Bongo wakifanya vizuri wanasema ni wa kwao nk
WaTanzania ni wakarimu sana ndio shida
 
MONOPOLY


Neno monopoly maana yake ni muuzaji mmoja (single seller).

Huu ni muundo wa soko ambao muuzaji wa bidhaa ni mmoja tu.

Vitu vinavyoweza kusababisha kuwepo kwa monopoly ni kama vifuatavyo:

1. Mazingira.

Mfano: Dunia nzima madini ya Tanzanite yanapatikana Tanzania pekee, kwahio Tanzania ni monopoly wa haya madini.

2. Serikali

Mfano: Tanzania hairuhusiwi makampuni mengine yoyote kusambaza umeme wa majumbani, hii sababu inafanya TANESCO kuwa monopoly.

3. Teknolojia

Mfano:

Microsoft and window (application za kwenye simu na computer)

Pia apple

Tabia za soko la monopoly ni kama zifuatazo:

1. Muuzaji ni mmoja

2. Hamna ushindani

3. Vikwazo vya kuingia kwenye hili soko ni vikubwa

4. Upekee wa bidhaa, Hakuna bidhaa inayoendana na bidhaa inayouzwa na monopoly

5. Bei inapangwa na muuzaji

6. Faida kubwa sana hupatikana kweye hili soko kwa muuzaji

Karibuni kutoa mifano ya monopoly duniani.

#monopoly #uchumi #economics #swahiliY

Monopoly ni umiliki wa fulani ila pure monopoly ndiyo inakua na mmiliki mmoja
 
Cha ajabu hata ukiwa muuzaji ukiwa pekeyako haigerentee super normal profit
 
We mleta mada kuna sehem za kutumia neno monopolist, sio kila sehem unaweka monopoly.
Jifunze lugha kwanza ndo uje utupe somo
 
Back
Top Bottom