Montero Agrees to US$27 Million Settlement from Tanzania

MIGA Eltwege
 
Mama apewe maua yake kuwawezesha wazungu kutalipa, Kenya watatuonea wivu.
LUCAS NJOO UTUONE TUNAVYOBUBUJIKWA MAKAMASI.
 
Unajiuliza ni nani aliyezileta in-first place na amechukuliwa hatua gani
 
Sababu ya utemi wa kijinga..!!
 
Kwa hivyo we ulitaka watu waje waombe exploration na mining licence. Wakishapewa vibali wanazuga-zuga kufanya activities hapo ili waonekane wawekezaji ilihali hawana capital ya kuchimba hiyo migodi wala secured buyers,

Mwisho wa siku wanakalia migodi kama mali yao tu, wakati leseni zao ni ku-extract minerał na kuipa serikali chake.

Hiyo kesi ya Lindi sio wewe tu uliisikiliza, watu wengi tu humu. Na shida kubwa ilikuwa wanasheria wa Tanzania kutoelewa breach ya kuvunja mkataba kwa upande wao.

Walipewa wanasheria watoto, kwa sababu kwa wazungu ile kesi hata mwanafunzi wa A level aliesema contract law ashindwi.

Ni kwamba hawana uwezo, hiyo ndio shida. Yaani we ukalia tu mine kama mali yako, moreover hata damages sought not justifiable based on what they had invested nor anticipated losses kwa sababu hawakufanya kitu.

Tanzania ni easy pickings.
 
Jiridhishe kwanza kama unaijuwa MUGA ndiyo tuanze kubishana hapa
MUGA ndio nini mkuu, kwa uelewa wangu kwa nina rafiki anaitwa Muganyizi kifupi tunamwita Muga.

Otherwise MIGA ni mambo ambayo Lissu alikuwa anajiropokea kuikatisha tamaa serikali.

Ndio maana nimekuuliza umewahi sikia mtu kaenda shitakiwa huko MIGA au kuna kesi yeyote unayoijua ya mikataba ambayo mtu katumia hizo kanuni za MIGA kama citation ya breach.

To cut the story short uwezi kuleta huo ushahidi kwa Lissu alikuwa anaongea ujinga mtupu, hana analolijua kwenye maswala ya mikataba.
 
Waekezaji almost wote hawana hela wanapata mradi ndo wanaenda kuraise ela kwa investors kwenye stock exchange au kukopa kwenye sovereign wealth kubwa duniani na hili hulijui ni ajabu sana
 
Waekezaji wengi hawana hela wanapata mradi ndo wanaenda kuraise ela kwa investors kwenye stock exchange kubwa duniani na hili hulijui ni ajabu sana
Ndio maana mnashindwa kesi, kwa sababu hawawezi onyesha conditional breach ilipo.

Kesi zote hizo sio za kushindwa ni uwezo mdogo tu wa wanasheria wa Tanzania unaosababisha nchi kupewa madeni hewa.

Easy pickings
 
Ndio maana mnashindwa kesi, kwa sababu hawawezi onyesha conditional breach ilipo.

Kesi zote hizo sio za kushindwa ni uwezo mdogo tu wa wanasheria wa Tanzania unaosababisha nchi kupewa madeni hewa.

Easy pickings
Sio mnashindwa kesi ndo biashara inafanywa duniani hivyo
Msikilize elon musk na matajiri wengine walikwa na idea tu wakaenda raise fedha kwa investors acha ushamba

Hayo mambo ya mikataba ni mengine ila njia ya kuraise fedha inajulikana
 
Sawa kulikua na vilaza kwanini asitumie busara
Busara si ndio hiyo kuchukua chako, au busara kwako ni kumuachia mzungu ambae hana hela ya uwekezaji kujimilkisha ardhi yenye maliasili za Tanzania.

Huyo mama alitoa team yote ya wanasheria aliyopanga Magufuli na kuweka watu wake wasio na uwezo ili wahuni wafanye yao, halafu lawama mumpe Magufuli.
 
Mjomba Magu,maskini hakujua hayo alidhani anavyoweza kuwaburuza wabongo ndivyo hivyo hivyo atawatambia walami.

Lakini kinachosikitisha badala ya Magu kuwanyonga hao waheshimiwa waliotia sahihi mikataba hiyo aliishia kusema hatafukuwa makaburi.

Lakini inasemekana pia kulikuwa na mikataba isiyo na utata lakini wakaingia wanafiki waliotaka kuwapatia wawekezaji wengine wakajua namna ya kumchokoza Mjomba Magu.Tanzania ni ngumu.
 
Sio mnashindwa kesi ndo biashara inafanywa duniani hivyo
Msikilize elon musk na matajiri wengine walikwa na idea tu wakaenda raise fedha kwa investors acha ushamba

Hayo mambo ya mikataba ni mengine ila njia ya kuraise fedha inajulikana
Kwa hivyo we unadhani watu wanakupa tu ardhi indefinitely mpaka uwe tayari kuwekeza hata ikichukua miaka 100 kupata mtaji ardhi ni mali yako?
 
Kwa hivyo we unadhani watu wanakupa tu ardhi indefinitely mpaka uwe tayari kuwekeza hata ikichukua miaka 100 kupata mtaji ardhi ni mali yako?
Naomba kujua kadiri ya sheria ya madini za awali, je vibali vya 'exploration' havina ukomo?

"Bora ukose Mali upate akili"
 
Kwa hivyo we unadhani watu wanakupa tu ardhi indefinitely mpaka uwe tayari kuwekeza hata ikichukua miaka 100 kupata mtaji ardhi ni mali yako?
Unajua maana ya uwekezaji sababu unaaongea kama umelewa
Ni wapi nimesema muwekezaji anapewa ardhi milele ebu nionyeshe hapo niliposema
 
Mikataba alivunja magufuli kesi zikafunguliwa hukumu imetoka magufuli amefariki na kumbuka aliyeshtakiwa ni Tanzania na sio magufuli ila aliyevunja mikataba ni magufuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…