hicho kitu ni kweli mdau ila me nafikiri ni vitu ambavyo sometime huwa tunawaza vinasababisha hali hiyo,
...cha ajabu wa kwangu akiwa ktk mood mbaya inayompelekea kuwa na ka-angry face,nikimtekenya tu chali😛oaHivi kwanini madem wanakuwa na moods? mara wako sawa na vicheko vingi mara gafla wanakuwa butu kabisa, kimya, huzuni, mawazo! ni kwamba hawajiamini au mambo mengi kichwani? Waheshimiwa wadau...Nawakilisha!