AQueen
Member
- Nov 15, 2017
- 12
- 3
Ni mke... uko nyumbani mchana mmoja.. ghafla anaingia mume wako akiwa anatweta jasho na kwa kumuangala vizuri unaona ana damu kwenye nguo na mwilini kiasi.. Anaingia ndani anakusimulia kilichotokea...
Kwamba deal na mshikaji wake halikwenda vizuri.. things got worse.. they fought and he killed him..
A short while after.. akiwa kesha oga na ku change. Polisi wanafika nyumbani kwako wanamchukua kama mtuhumiwa wa kukisiwa..
Kesi inasikilizwa mahakamani.. amekana mashitaka... na amekutaja wewe kuwa shahidi.. (alibi) wake kwamba wakati wa tukio mlikuwa wote nyumbani..
Unaitwa ujibu....[emoji15]
Je unapaswa kutoa ushahidi upi?
Kwamba deal na mshikaji wake halikwenda vizuri.. things got worse.. they fought and he killed him..
A short while after.. akiwa kesha oga na ku change. Polisi wanafika nyumbani kwako wanamchukua kama mtuhumiwa wa kukisiwa..
Kesi inasikilizwa mahakamani.. amekana mashitaka... na amekutaja wewe kuwa shahidi.. (alibi) wake kwamba wakati wa tukio mlikuwa wote nyumbani..
Unaitwa ujibu....[emoji15]
Je unapaswa kutoa ushahidi upi?