bahati93
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 1,334
- 2,463
Sopa mazee.
Ipo hivi, mwanaume wakati anachagua mwanamke wa kumweka ndani kuna vitu huwa anathaminisha. Kuna baadhi ya wanaume huthaminisha ukubwa wa makalio, wengine umbo la miguu, wengine uwima wa matiti, na nakadhalika.
Hali ipo hivyo hivyo kwa vijana wa kimasaai japo wao hawathaminishi vitu tajwa nilivyoorodhesha hapo nyuma, bali wenyewe Hujikuta wanapagawa na jinsi kigoli akizichezesha Bangili yake kubwa shingoni kwa kunesa nesa. Tulipofwatilia hili swala na kuuliza baadhi ya vigoli huu ndio ulikuwa ushahidi wao juu ya hili swala.
Lankenua alisema " mimi nina bahati bibi yangu ni mjuzi kweli wa kufuma bangili shingo nilimwambia anifumie ya kupendeza, na kweli nilivyoenda ngomani walipagawa sana"
Naisiae alisema " mimi nategemea kufanya juhudi zaidi katika kuchezesha Bangili langu wananipenda sana, huwa nafanya kama napeta mtama"
Na Nalutuesha alisema " mimi napenda kuchezesha mvua ikiwa inanyesha"
Morani walikiri kweli kupagawa na kutaka vigoli kupunguza madaha kidogo ya kunesa nesa kwani Bakora zao zaweza pasuka kwa kusimama mda mrefu.
Ipo hivi, mwanaume wakati anachagua mwanamke wa kumweka ndani kuna vitu huwa anathaminisha. Kuna baadhi ya wanaume huthaminisha ukubwa wa makalio, wengine umbo la miguu, wengine uwima wa matiti, na nakadhalika.
Hali ipo hivyo hivyo kwa vijana wa kimasaai japo wao hawathaminishi vitu tajwa nilivyoorodhesha hapo nyuma, bali wenyewe Hujikuta wanapagawa na jinsi kigoli akizichezesha Bangili yake kubwa shingoni kwa kunesa nesa. Tulipofwatilia hili swala na kuuliza baadhi ya vigoli huu ndio ulikuwa ushahidi wao juu ya hili swala.
Lankenua alisema " mimi nina bahati bibi yangu ni mjuzi kweli wa kufuma bangili shingo nilimwambia anifumie ya kupendeza, na kweli nilivyoenda ngomani walipagawa sana"
Naisiae alisema " mimi nategemea kufanya juhudi zaidi katika kuchezesha Bangili langu wananipenda sana, huwa nafanya kama napeta mtama"
Na Nalutuesha alisema " mimi napenda kuchezesha mvua ikiwa inanyesha"
Morani walikiri kweli kupagawa na kutaka vigoli kupunguza madaha kidogo ya kunesa nesa kwani Bakora zao zaweza pasuka kwa kusimama mda mrefu.