Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwan wamekwmbia wamesajil ili azibe nafas ya mtu au aje acheze mpiraWashabiki wa Chelsea hili jambo mnapaswa kulielewa vizuri , pamoja na mapungufu ya Tabia ya Costa lakini mara zote amekuwa mbabe mno ndani ya 18 , kuziba pengo lake kwa mchezaji wa kawaida kama Alvaro Moratta ni kujidanganya mno .
Konte unisome vizuri na unielewe sana .
Yani upo Tandale kwa tumbo unajimilikisha team ya Chelsea ... Hahahaha wonders shall never endAcha Uchawi wako Wewe kama We cyo Chelsea piga kimya tuache na Chelsea yetu Moratta ni bonge LA mchezaji
Sasa wewe unabishana na Conte ?Kwan wamekwmbia wamesajil ili azibe nafas ya mtu au aje acheze mpira